barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,818
Baada ya kauli ya Spika Bungeni,hivi ndivyo Mbunge Wa Iringa Mjini,Mh.Msigwa alivyomjibu kupitia mtandao wa FB akiwa Nairobi
"Spika Ndugai muogope Mungu,usilete utani katika maisha ya Mh Lissu, umeliongopea bunge na umma , gharama zote za ndege zimelipwa na CHADEMA na Watanzania. The parliament deserve better than you!"- Mh . Msigwa Nairobi.