Peter Msigwa apiga mil. 200 za Lowassa, Iringa Mjini mpo?

Peter Msigwa apiga mil. 200 za Lowassa, Iringa Mjini mpo?

Acha ulimbukeni mbona ccm waligawa shs 10000 tena waziwazi kwa wengi waliokuja jangwani husemi. Magari yalipelekwa kuwasomba na waliopewa elfu kumi kila aliyeingia kwenye gari.acha kuwa na akili za kitoto zisizokomaa. Kaa kimya utulie.
 
Ubaya ni kuwa tulipuuza habari ya Mbowe kumwuzia chama Lowassa 2011 na matokeo tunayaona. Wanaotukana hata hawako Iringa ila wangeenda labda walete ripoti kama taarifa ni sahihi ama la.
 
Kazi unayo,unaacha kuwaza maendeleo wewe unakalia kupika majungu tu!! poleeee

aise mkuu ayo madai ya uyu dada mbona yamekaa kimapenzi au ndio umeachika uko ccm nyambafu kbs kwani toka lini ukasikia kuna mkutano usio na bajeti ya pesa? Yote ni pesa tofauti ni kwamba ccm wanawaonga watu pesa ili waje kwenye mikutano yao na cdm wao bajeti yao ni mafuta na mziki matangazo nk
.
 
Ni pesa kwaajili ya kampeni mkuu naamini hata ccm mmejipanga kwa hilo
 
Ili kampeni zifanikiwe inatakiwa mi 500 na lowassa ashatoa mil 200 kwa hiyo hizo 300 atatoa msigwa?NENDA KAPIMWE AKILI.
 
Unakoelekea siko, presha ya povu ikiwa kali itatafuta tundu jingine kutokea!
 
Naona umeamua kupuuzia kumeza dawa zako za kila siku za kichaa
 
Acheni siasa za chuki wandugu huo utafiti ulioufanya haujabalance bt inaonesha dhahili kuwa unatumiwa na ccm ww acha hizo
 
Uzi wako unaongelea hongo(rushwa) hapo hapo umejisahihisha mwenyewe kwa kueleza matumizi ya pesa hizo, kuandaa mkutano, muziki, posho.

Hakuna cha bure pesa inatumika kufanikisha mikutano kwenye vyama vyote kama walivyofanya ccm jagwani
 
Unaweza kukuta ni mwanaume huyu,..!? I can see kitengo cha propaganda ccm kimechoka mapema.
kweli ukawa wajanja wamewatanguliza jamaa, nao kwa kushidwa kun'gamua wakaanza kwa pupa
1.magufuli pumzi imekata
2.akina pole pole watu wamewastukia na kuwachoka
3.vijana wa ccm kwenye mitandao wamepanic
ndo kwanza wiki ya kwanza ya kampeni..kazi ipo
 
Hivi wale boda boda walikwenda lumumba kudai hela za mafuta,mmeshawapatia?
 
Kama ni 50,000 kwa kila mtu basi huyu anafaa kuwa rais...
 
mtoa mada pole sana utasema sana mwaka huu ukawa mpango wa mungu mtaisoma number sisiemu
 
Mara wanalipwa 5000 kwa dereva bodaboda, 10000 kwa driver bajaj...mara unasema wanalipwa 50000 driver bodaboda na bajaj...mara 100000 kwa dereva taxi...huu ni uongo uliopindukia aisee!

Ni vizuri mtu ukiandika thraad tambua kuwa wanaoenda kuisoma ni watu Wazima na akili zao wenye uwezo wa kuchanganua mambo!
 
Back
Top Bottom