peter kilawe

peter kilawe

Peter Kilawe

Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
12
Reaction score
1
mr makongoro mahanga sisi na wapiga kura wako watabata kagibu na chuo cha sent mary hii barabara imekua shoti kati sana kwa watu wanao enda mawezi ama segerea je nilini utatukumbuka kwa kuipanua nakuipiga lami ?
 
Peter Kilawe unamuonea huyu kilaza Makongoro. Yuko bize kwenye kughushi shahada na kutafuta mshiko kwa kuliuza taifa letu. Mtaendelea kuteseka kwa vile jamaa hayupo kuwawakilisha nyinyi bali tumbo lake. Umenipata mwanangu? Uchaguzi ujao mpigeni chini aendelee na mishenitauni yake na rafiki yake na mghushi mwenzie Didace Masaburi.
 
mr makongoro mahanga sisi na wapiga kura wako watabata kagibu na chuo cha sent mary hii barabara imekua shoti kati sana kwa watu wanao enda mawezi ama segerea je nilini utatukumbuka kwa kuipanua nakuipiga lami ?

Mshamaliza mitihan ya form four? Mwaka huu haiku- leak?
 
Back
Top Bottom