Pete sio chanzo cha Ndoa

Pete sio chanzo cha Ndoa

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,758
Reaction score
9,589
Habarini marafiki zangu wa moyoni Mnaendelea vizuri Imenipendeza leo niwape kasomo kadogo hasa WANAWAKE / WADADA wenzangu wote walioko mtandaoni hapa sitopenda kuwahuzunisha wala kuwasema vibaya bali ni kuwaweka sawa juu ya hawa ndugu zetu akina Bujibuji, kwani hawa watu tunaowaona ni ndugu zetu na marafiki zetu ni watu WASIOTABIRIKA wanaweza leo wakawa wema kwako na kesho wakakugeuka wakawa nyang'au wasiowapenda na kusema yule bidada mshamsaranda hana lake na ana mpango wowote inabidi tuwe macho nao na ni watu wa aina hii ni wafitiniti wakubwa ndo maana tumepewa hekima ya kuishi SIO KILA MTU ULIYENAYE UMEANDIKIWA NDOA NAE Sio kila Relationship imeandikwa ifikie ndoa!

- Ingia kwenye Mapenzi with less expectations, itakusaidia, sio kila Mwanaume anayekuja kwako we unawaza pete tu pete tu, wengine wanaletwa na Mungu kukufunza mambo flani, learn through the process, ukiingia ndoa bila Material ya kutosha ndo hizi ndoa za Crush Programme hazivuki hata Probation ya 2 months watu chali... Too much expectations will give you Surprises!kwa akili nyingi sana. Mabestito na mashostito tafadhalini sana kuweni makini nao na kuwa mtu mwenye hekima na busara nao na dhidi kumwomba Mungu akupe yule akutokaye kwake usikurupuke wala usimpende kutokana na vile alivyo au jinsi ya vitu alivyonavyo bali mpende kwa moyo wako wote na akili zako zote ishi ukijua kuwa si kila MWANAUME ni wa kukuoa au kukuvalisha PETE bestito utajuta baadaye kuwa makini na ishi kwa malengo kivyakovyako tu . Nawatakia siku njema na mjifunze haya niliyowapa leo hili ni somo letu sote na sijamtaja mtu yeyote naomba marafiki zangu msinukuu vibaya hapa ni somo la kuwekana sawa tu na kujifunza hasa sisi madada Nawapenda nyote
 
Last edited by a moderator:
ujumbe mzuri tatizo kuna baadhi ya wanaume huonesha nia ya kufunga ndoa huku moyoni wanajua hawamaanishi wapo wengi sana wa hivyo, binafsi mtu akianza kuongelea ndoa mwanzoni huwa namwambia live asitumie ndoa kama njia ya kunipata na inakuwa rahisi kwangu kumkataa but baadhi yetu wadada wakitajiwa ndoa huwa wanachanganyikiwa na baadae wekibwagwa wanabaki na maumivu.
 
Kweli aisee! Ila nnaswali inamana 2kae mguu ndani mguu nje ama?
 
uyaongeayo best ni kwelli kabisa ni kama tumepumbazwa kiini macho sie wadada na wala tunawaamini sana tena kwa 100% kumbe ni matapeli wa mapenzi hawa ni watu w aajabu tena wanashangaza sana tuwe macho nao
ujumbe mzuri tatizo kuna baadhi ya wanaume huonesha nia ya kufunga ndoa huku moyoni wanajua hawamaanishi wapo wengi sana wa hivyo, binafsi mtu akianza kuongelea ndoa mwanzoni huwa namwambia live asitumie ndoa kama njia ya kunipata na inakuwa rahisi kwangu kumkataa but baadhi yetu wadada wakitajiwa ndoa huwa wanachanganyikiwa na baadae wekibwagwa wanabaki na maumivu.
 
asante kwa swali lako zuri hapana tusikae mguu moja nje ndani bali tuishi nao kwa akili na tena tuwe na hekima ni jinsi gani twaweza kuwasoma watu hawa kwani wana maneno ya kitapeli sana anakupenda ukiwa mzuri ukiwa hovyo anakusarandia kiaina watu wa ajabu sana
Kweli aisee! Ila nnaswali inamana 2kae mguu ndani mguu nje ama?
 
sanaa tena wanaokuja na mipango ya ndoa mwanzoni ni wabaya zaidi watu hamjuani lakini anajifanya yeye ana nia ya kukuoa cha ajabu anaanza kuomba tendo la ndoa kabla ya ndoa na ukimpa ndio basi umekwisha
uyaongeayo best ni kwelli kabisa ni kama tumepumbazwa kiini macho sie wadada na wala tunawaamini sana tena kwa 100% kumbe ni matapeli wa mapenzi hawa ni watu w aajabu tena wanashangaza sana tuwe macho nao
 
^^
Tena ni kheri hao wenzangu wanaweza kuwapa hizo pete, mi ndo kabisaa tegemeo hilo halipo kwenye ratiba,mi sio mzuri kwa kweli, yaani hata sijui nina nini mie Himidini !!
^^
 
Ha haaaa I like it mtoa somo imenigusa sanaaa, mm kuna alienitongoza muda wa mwezi hata cjamkubalia kaja na e
Pete anataka kuni engage nikakataaa coz nilikuwa namhofia toka siku ya kwanza kutokana na tunaishi mikoa tofauti akajua ni ngumu kumfatilia bt nilicheki na marafiki zake fb bila yy kujua nikagundua anamke tena wa ndoa na mtoto, nilimshangaza kumweleza kila kitu juu yake ba
Hadi namba ya mkewe nilimtajia ilibidi aniombe msamaha bt alijitetea kuwa wanawake wengi twapenda kuolewa so bila kuniambia hivyo asingenipata na alikuwa tayari 4anycost ili anipate na uhusiano uliishia pale pale bt amekuwa rafiki mkubwa kwangu nimejifunza mengi kupitia kwake nami pia nimempa ushauri umemsaidia
 
Cousin umenena vyema... Ila wanaume hawa Mwenyezi Mungu awarehemu.

Nina mifano hai ya mahusiano mawili. Wa kwanza alikana kabisa kuwa kaachana na alitekuwa girlfriend wake kwa ushahidi wa kumpigia huyo X ili bidada ajiridhishe kuwa wameachana. Unajua nini kilitokea, bidada alipigwa chini na X aliolewa. Unadhani huyo mwanaume alikuwa hajui anachokifanya mpaka akadate na bidada???

Uhusiano mwingine ambao nauonea huruma hasa katika upande wa mdada. Jamaa ana mchumba na vikao vimeshaanza ila ana mahuasino na bidada mwingine ambapo bidada anaamini yeye ndiye ataolewa siku zijazo. Mwanaume kimyaaa anajisevia kiulainiii....

Ni huruma aisee!!! Wanaume......... Nimewanyanyulia mikono....
 
Uuh maneno mazito but so tru...naona kwa life la ckuiz mwanamke SHARTI UWE MJANJA KULINDA MOYO WAKO,usiwe taken for granted kirahisi rahisi,..yn hzo stori hapo juu zinanihimiza tu I SHOULD HAVE OPTIONS,ht km likitokea lolote majuto yasiwe kivileee...loh,kwa kudanganyiwa ndoa wanajua watatupata nishawastukia men wa ckuiz
 
mmmhhh!...kuna ukweli vile
Uuh maneno mazito but so tru...naona kwa life la ckuiz mwanamke SHARTI UWE MJANJA KULINDA MOYO WAKO,usiwe taken for granted kirahisi rahisi,..yn hzo stori hapo juu zinanihimiza tu I SHOULD HAVE OPTIONS,ht km likitokea lolote majuto yasiwe kivileee...loh,kwa kudanganyiwa ndoa wanajua watatupata nishawastukia men wa ckuiz
 
Linda sana moyo wako kiliko vyote ulindavyo; maana ndimo zitokapo chemchemi za uzima.
 
tena hapo ndugu yangu ndo umeliwa mzimamzima yaani akishado na wewe anakuona takataka kabisa si watu hawa bestito
sanaa tena wanaokuja na mipango ya ndoa mwanzoni ni wabaya zaidi watu hamjuani lakini anajifanya yeye ana nia ya kukuoa cha ajabu anaanza kuomba tendo la ndoa kabla ya ndoa na ukimpa ndio basi umekwisha
 
umenikumbusha andiko bestito ambalo uwaga linanijenga sana kumoyo barikiwa
Linda sana moyo wako kiliko vyote ulindavyo; maana ndimo zitokapo chemchemi za uzima.
 
ni ukweli mtupu ndugu yangu ni kuwa makini nao kabisa
Uuh maneno mazito but so tru...naona kwa life la ckuiz mwanamke SHARTI UWE MJANJA KULINDA MOYO WAKO,usiwe taken for granted kirahisi rahisi,..yn hzo stori hapo juu zinanihimiza tu I SHOULD HAVE OPTIONS,ht km likitokea lolote majuto yasiwe kivileee...loh,kwa kudanganyiwa ndoa wanajua watatupata nishawastukia men wa ckuiz
 
yaani cousin usemayo ni kweli tupu hawa ndugu zetu wanaume hawaeleweki kabisa ni watu wa ajabu wanajifanya wanakupenda na kumbe ni walaghai wataonesha kila aina ya upendo na utapeli wa ndoa kwako nawe utaawaamini 100% kumbe wana lao jambo


cc Asprin
Cousin umenena vyema... Ila wanaume hawa Mwenyezi Mungu awarehemu.

Nina mifano hai ya mahusiano mawili. Wa kwanza alikana kabisa kuwa kaachana na alitekuwa girlfriend wake kwa ushahidi wa kumpigia huyo X ili bidada ajiridhishe kuwa wameachana. Unajua nini kilitokea, bidada alipigwa chini na X aliolewa. Unadhani huyo mwanaume alikuwa hajui anachokifanya mpaka akadate na bidada???

Uhusiano mwingine ambao nauonea huruma hasa katika upande wa mdada. Jamaa ana mchumba na vikao vimeshaanza ila ana mahuasino na bidada mwingine ambapo bidada anaamini yeye ndiye ataolewa siku zijazo. Mwanaume kimyaaa anajisevia kiulainiii....

Ni huruma aisee!!! Wanaume......... Nimewanyanyulia mikono....
 
Last edited by a moderator:
si unaoona bestito haya mambo yapo kabisa huo ni mfano tosha hata kwa wengine wakisoma hapa
Ha haaaa I like it mtoa somo imenigusa sanaaa, mm kuna alienitongoza muda wa mwezi hata cjamkubalia kaja na e
Pete anataka kuni engage nikakataaa coz nilikuwa namhofia toka siku ya kwanza kutokana na tunaishi mikoa tofauti akajua ni ngumu kumfatilia bt nilicheki na marafiki zake fb bila yy kujua nikagundua anamke tena wa ndoa na mtoto, nilimshangaza kumweleza kila kitu juu yake ba
Hadi namba ya mkewe nilimtajia ilibidi aniombe msamaha bt alijitetea kuwa wanawake wengi twapenda kuolewa so bila kuniambia hivyo asingenipata na alikuwa tayari 4anycost ili anipate na uhusiano uliishia pale pale bt amekuwa rafiki mkubwa kwangu nimejifunza mengi kupitia kwake nami pia nimempa ushauri umemsaidia
 
Back
Top Bottom