Pesa yangu

Jpinduzi

Senior Member
Feb 26, 2011
136
68
kila itwayo leo tupo kwenye pilikapilika za hapa na pale za kutuwezesha tuishi maisha mazuri katika dunia hii.Hii inamaana ya kuwa tunahangaika kutafuta pesa kwa namna moja au nyingine.Kwani pesa inatuwezesha kupata mahitaji yetu ya kila siku,naweza kusema pesa ni sehemu ya mahitaji mhim ya mwanadamu.Sidhani hakuna kiumbe kisichojua maana ya pesa katika ulimwengu wa leo,kwa hiyo basi nisingependa kuelezea pesa maana yake ni nini,ila tu ningependa kukupitisha kidogo kwenye mistari ya biblia inaelezaje juu ya pesa.kazi kwako

Pesa- na mafunzo ya kikristo, soma 2.wakoritntho8:9

Pesa- na kufunga na kuomba na kutoa misaada.(matendo ya mitume 10:4,30)


Pesa- na imani 2.wakorintho9:10 mbegu ya kupana iongezeke maradufu.


Pesa- na ukweli, luka 16:10-13


Pesa- na nidhamu mithali 6:9-10


Pesa- na wakati muhubiri11:4 na 6


Pesa- na kupanda na kuvuna wagalatia 6:7, wakorintho wa pili 9:6


Pesa- na mtindo wa ulimwengu kulinganishwa na mtindo wa mbinguni. luka 6:38, mathayo 6:19-20


Pesa- na rasilimali ya benki ya dunia luka 12:21


Pesa na rasilimali katika benki ya dunia mathayo 6:19-20 na mathayo 19:21


Pesa- na faida. mithali 28:8,kutoka 22:25 na kumbukumbu la torati 23:19 (dhambi ya kuchukua faida nyingi)


Pesa- na kupeana ulinzi, hakikisho, ya kufunguliwa. mithali 22:26 na 11:15 na 20:16


Pesa- na fungu la kumi malaki 3:10, luka 11:42, mithali 3:9


Pesa- na sadaka matendo ya mitume 10:4.


Pesa- na kupeana mithali 28:27, wafilipi 4:17-19, luka 6:38.


Pesa- na kumwibia Mungu malaki 3:10


Pesa- na watoto wakorintho zaburi 37:25


Pesa na ulafi zaburi 127:2


Pesa- na kuiba Yohana 12:6 na 1wakorintho 6:10


Pesa- na karata mithali16:33


Pesa- na mwenye haki mithali 15:6

Pesa- na ukweli mithali 21:6


Pesa- na nia nzuri luka 6:35 na luka 6:38

Pesa- na hasara ya milele( Judas) mathayo 27:3-5 na Yohana 17:12


Pesa- dhambi kinyume na Roho Mtakatifu matendo ya mitume 5:1-5


Pesa- na waanzilishi (Abrahamu, Yakobo, Ayubu, Daudi na Suleimani)


Pesa- na kubadilika kwa uchumi Mathayo 6:19-21

Pesa- na kazi Mithali 28:19


Pesa- na uzembe Mithali 6:6,9 Mithali24:33-34


Pesa- na kulala sana asubuhi Mithali 6:10, MIthali 24:33-34

Pesa- na deni Mithali 22:7


Pesa- na kupenda sana pesa 1 thimoteo 6:10 na waebrania 13:5


pesa- na utajiri uliofichwa Isaya 45:3


Pesa- na kuirithi. Mithali 13:22, 19:14, 14:18.


Pesa- na mataifa wanaojiita maskini na matajiri. Ibada ya miungu licha ya asilimia kubwa ya wakristo katika taifa. Kumbukumbu la torati 31:16

Pesa- na yesu alifanywa maskini ili sisi tuwe matajiri. anamiliki ulimwengu mzima- aliziumba pesa zote. wakolosai 1:16


Pesa- na Mungu Yahweh. Hagai 2:8 fedha ni yangu na dhahabu ni yangu...


Pesa- na kusanya kidogo kidogo Mithali 13:11


Pesa- na maafisaa (kodi) Mathayo 22:21, Mariko 12:17, Luka 20:25, Warumi 13:7


Pesa- na kuchochea; kutia moyo. mithali 4:4


Pesa- na wivu (kutajirika haraka haraka) Mithali13:11, Mithali 28:22


Pesa na baraka za Mungu. Mithali 10:22

Pesa- na laana za kifamilia.Kutoka 20:5


Pesa- na ahadi zilizovunjwa. Zaburi 15:4.


Pesa- na mambo ya kwanza. Luka 12:31 tafuteni kwanza ufalme wa Mungu


Pesa na tabia yako. (tabia nzuri inayozalisha inaweza kupokea baraka za mali bila kuadhiri nafsi)

Pesa- na kuridhika (utakuwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa) 1,thimoteo 6:6.


Pesa- na kanisa mwanzo 18: 26 fungo la kumi.


Pesa- na wahudumu 1. timateo 3:3 na tito 1:7

Pesa na mpangilio


Pesa- na ndoa mithali 31:10.


Pesa na kunywa na kulala zaidi mithali 23:20 walevi ............


Pesa- na hakikisho mithali 6:1, 11:15, 17:18, 20:16, 27: 13.


Pesa- na adui wako mithali 25: 21


Pesa na kazi mithali 18: 9, 1.timateo 5;18, mithali 14:23, zaburi 127:2.


Pesa na jinsi ya kuomba Mungu yahweh mithali 19:17.
Pesa na kupokea neno la mungu mathayo 13:23


Pesa na mambo ya kwanza Muhubiri 11:4, na mithali 24:27

Pesa- na mali chini ya laana na na chini ya baraka.kutoka 28.

Pesa- na viongozi wa kanisa; kuweka pesa za kanisa, na pesa za kibinafsi kuganywa vizuri.yahana 12:6 ............ yuda mweka hazina alikuwa mwizi.


Pesa- na kuanguka kwake shetani Ezekiel 28:4-5.


Pesa- kupenda pesa 1Thimoty 6:10. ......ni chanzo cha maovu yote...


Pesa- visababisho kwa tabia na ubinafsi utu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom