Pesa ya msaada wa El nino ilienda wapi?

Pesa ya msaada wa El nino ilienda wapi?

P J O

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2024
Posts
241
Reaction score
315
Kwa miaka mitatu sasa maeneo ya Vigunguti ukiwa unatoka Tabata Barakuda unavuka kwenda Upande wa pili wa mto msimbazi kumekua na magari yanachukua mchanga wa mtoni wanasafirisha. Magari ni Makubwa na kutokana na hili mto msimbazi umekua ukitanuka na wakati wa mvua kumesababisha mafuriko Makubwa.

Yamesomba nyumba nyingi na eneo ilo Kila Leo nyumba nyingi zinaendelea kuanguka kutokana na uharibifu wa mazingira.

Pesa Ya El Nino iliopaswa kusaidiwa waathirika, Leo serikali na mamlaka husika wa mazingira inaruhusu hiki kitu kiasi cha kuathiri maisha ya kaya nyingi masikini wanaoishi ukanda huu.

Barabara za lami kuelekea machinjioni zimeathiwa vibaya pia kutokana na hili.

Serikali imefumbia macho Kwa miaka yote hii.
 
Labda hujui Muokoto ulishaliwa mda mrefu kiasi kwamba waliokula hawakumbuki kama walikula.
 
Kwa miaka mitatu sasa maeneo ya Vigunguti ukiwa unatoka Tabata Barakuda unavuka kwenda Upande wa pili wa mto msimbazi kumekua na magari yanachukua mchanga wa mtoni wanasafirisha. Magari ni Makubwa na kutokana na hili mto msimbazi umekua ukitanuka na wakati wa mvua kumesababisha mafuriko Makubwa.

Yamesomba nyumba nyingi na eneo ilo Kila Leo nyumba nyingi zinaendelea kuanguka kutokana na uharibifu wa mazingira.

Pesa Ya El Nino iliopaswa kusaidiwa waathirika, Leo serikali na mamlaka husika wa mazingira inaruhusu hiki kitu kiasi cha kuathiri maisha ya kaya nyingi masikini wanaoishi ukanda huu.

Barabara za lami kuelekea machinjioni zimeathiwa vibaya pia kutokana na hili.

Serikali imefumbia macho Kwa miaka yote hii.
Serikali ni wananchi wa Hilo eneo ndio mnatakiwa mchukue hatua msiogope
 
Back
Top Bottom