Pesa ya kujikimu kwa walimu ajira mpya imekuwa shubiri

victer

Member
Jun 23, 2012
58
9
Ndg Wanajamvi kama nilivoandika hapo kwenye heading... Walimu wa ajira hzi za mwezi april znatufanya tunaishi kama njiwa ugenini mpaka muda huu kuna halmashauri hazijatoa pesa ya kujikim ikiwemo sengerema, misungwi, ukerewe, magu. Na sehem nyingne nying yaani kwa kifupi tunateseka hapo nmetaja halmashauri zilizoko mkoa wa mwanza kwa sababu mm mwenyewe ni mhanga... msaada jamani kwa anaeweza kua na namba ya waziri wa tamisemi maana huku wakurugenzi wanatutesa jamani ukizingatia tuko ugenini... msaada wenu wana jamvi.
 
Watu ambao wanajua jinsi yakuwasaidia hawa walimu wajitokeze wawajibu inavyopaswa,watu wenye vyeo mbalibali hujenga nyumba nakununua asset mbalimbali kama ukumbusho kutokana na hizo pesa.Ifike mahali hii hali ikome.
 
Ndg Wanajamvi kama nilivoandika hapo kwenye heading... Walimu wa ajira hzi za mwezi april znatufanya tunaishi kama njiwa ugenini mpaka muda huu kuna halmashauri hazijatoa pesa ya kujikim ikiwemo sengerema, misungwi, ukerewe, magu. Na sehem nyingne nying yaani kwa kifupi tunateseka hapo nmetaja halmashauri zilizoko mkoa wa mwanza kwa sababu mm mwenyewe ni mhanga... msaada jamani kwa anaeweza kua na namba ya waziri wa tamisemi maana huku wakurugenzi wanatutesa jamani ukizingatia tuko ugenini... msaada wenu wana jamvi.

Nasikia mnaitwa "walimu wa Magufuli."

Subirirni hadi mkuu atakapojisikia kuwapa hizo pesa zenu.
 
Ndg Wanajamvi kama nilivoandika hapo kwenye heading... Walimu wa ajira hzi za mwezi april znatufanya tunaishi kama njiwa ugenini mpaka muda huu kuna halmashauri hazijatoa pesa ya kujikim ikiwemo sengerema, misungwi, ukerewe, magu. Na sehem nyingne nying yaani kwa kifupi tunateseka hapo nmetaja halmashauri zilizoko mkoa wa mwanza kwa sababu mm mwenyewe ni mhanga... msaada jamani kwa anaeweza kua na namba ya waziri wa tamisemi maana huku wakurugenzi wanatutesa jamani ukizingatia tuko ugenini... msaada wenu wana jamvi.
Ni majanga matupu hata SIMIYU ni taabu tu, watu tunakula upepo ifikie sehemu serikali hii ijiangalie km pesa haikuwepo wangesubiria sasa wanatesa raia za watu c mchezo. NAOMBENI MWENYE NAMBA YA MTAKA ANIPE NIMSIKIE ATASEMA NINI JUU YA HILI.
 
Ni majanga matupu hata SIMIYU ni taabu tu, watu tunakula upepo ifikie sehemu serikali hii ijiangalie km pesa haikuwepo wangesubiria sasa wanatesa raia za watu c mchezo. NAOMBENI MWENYE NAMBA YA MTAKA ANIPE NIMSIKIE ATASEMA NINI JUU YA HILI.
Mtaka ndo nani? Maana ni jina jipya kabisa machoni na masikioni mwangu.
 
Back
Top Bottom