Akade Joshua
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 262
- 200
Subirini tupo bize tunahamia Dodoma kwanza
Sua tuendelee tuu kukaa home maana hakieleweki. Ndalichako na board ya mikopo ni vitu viwili tofauti. Mm naona serikali kuu kitengo cha elimu ya juu iangalie hili tatizo hili kwa jicho la tofauti, la sivyo mwaka huu field nothing kwani muda unazidi kuyoyoma.Sua wamesema tubaki nyumbani, mpaka watakapo toa taarifa nyingine.... Hivi pesa zimepelekwa wapi namaniiiiiiii
Utaendaje huna pesa think twice, afu usifikirie kila mtu anatoka familia bora wengine boom hilo ndio kila kitu kulikosa linakwamisha kila kituDaruso haiwezi pambana na mihimili now days kama serikali yenyewe haijabadilisha maamuzi ya kureport trh 8 basi itakulazimu uende
Ndugu kureport ishakua lazima uwe na pesa au huna tatizo lishatokea no way outUtaendaje huna pesa think twice, afu usifikirie kila mtu anatoka familia bora wengine boom hilo ndio kila kitu kulikosa linakwamisha kila kitu
na bado ndo kwanza tunaanza kuisoma moja mpaka kumaliza sio leoTunaisoma namba