Hapana mkuu mara zote nlipata massage ya 524k then ikiletwa bank yangu NBC inakua 523k af NBC kulkua hakuna makato kutoa Hela ko nlikua naweza kutoa pesa yote muhimu acc ibaki na 5kHaijapungua kaka, Hio na 24 unapewa kama unasainii kwenye sheet ila kama ni sahih ya vidole ni 510k, hvyo yaani hata ukipata mesej ya 524k afu ukasain kwa vidole unapata 510k
Nimesoma chuo miaka4. Pesa ya boom ilikua inabaki bila shida na home nilikua nawasaidia!Hizo n miezi miweli mkuu sio pesa nyingi mkuu io hauli Bata na miezi miwl haifiki hakuna watu maisha magumu kama wanachuo
We chezea hiyo ela ukimaliza chuo ujikute huna ela hata kidogo ndio akili itakaa sawaMkuu huezi elewa kama hijasoma chuo kwa boom au ww ni wakishua
Mkuu sio kwa mfumo wa sasa boom ulilosomea kipndi iko ndo hili Hilo kipindi iki angalia maisha yalivochange af huu mfumo wa kila mtu apate saiv unapewa boom tu out out of 1.5m unalipiwa ada laki 4 ko lazima litumike na kwenye ada Ilo Ilo ko usijedhani Kuna bataNimesoma chuo miaka4. Pesa ya boom ilikua inabaki bila shida na home nilikua nawasaidia!
Achana kubishana na hizo kenge......kwani hazijui kuwa now Kuna inflation....Mkuu sio kwa mfumo wa sasa boom ulilosomea kipndi iko ndo hili Hilo kipindi iki angalia maisha yalivochange af huu mfumo wa kila mtu apate saiv unapewa boom tu out out of 1.5m unalipiwa ada laki 4 ko lazima litumike na kwenye ada Ilo Ilo ko usijedhani Kuna bata