Pesa ya boom yapunguzwa

Pesa ya boom yapunguzwa

Iyo ndo inakuwa ya miez mingapi kumbe wasomi wa hii nchi mnafaidi hela izo kila mwezi sie wamachinga hatzipat izo
Rudi shule kaka utazipata na wewe upate mtaji ununue kiwanja ujenge nanyumba sindohuwa malengo ya wanafunzi wanapoomba mkopo ila ukishapewa zinapitaga kama upepo
 
Vijana mnataka hela ya boom muwekeze iyo iyo mle ,acheni kuharakia maisha
 
Daah maisha yanaenda kasi sana watu wamepamban enzi hizo mpaka ikapanda leo mnaona ndogo daah malizeni mje kitaaa ndio mtajua kubwa au ndogo
 
Mkuu sio kwa mfumo wa sasa boom ulilosomea kipndi iko ndo hili Hilo kipindi iki angalia maisha yalivochange af huu mfumo wa kila mtu apate saiv unapewa boom tu out out of 1.5m unalipiwa ada laki 4 ko lazima litumike na kwenye ada Ilo Ilo ko usijedhani Kuna bata
Acah ujinga wewe unafkiri nani hajasoma humu?
Tena wengine walipata 5000 na 7500 per day na pesa ilitosha. Bana matumizi saidia panapostahili. Pesa inatosha.
Sikupangii lakini usibishe wanachokueleza waliokutangulia.
 
Acah ujinga wewe unafkiri nani hajasoma humu?
Tena wengine walipata 5000 na 7500 per day na pesa ilitosha. Bana matumizi saidia panapostahili. Pesa inatosha.
Sikupangii lakini usibishe wanachokueleza waliokutangulia.
Mkuu Mimi sili Bata simple math course tangu ni 1.5m kwnyw mkopo nalipiwa 400500 nayolipa mwenyewe 1.1m total boom kwa mwaka 2m ko nabakiwa na 900k kwa mwaka ko semester 1 nna 450k sasa masaidia wapi? Au unaisi nakurupuka
 
Back
Top Bottom