ArchAngel
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 4,516
- 3,753
Raha ya pc uwe na controller mkuu, mimi nina generic usb controller na kamwe hunirudishi tena kwenye playstation.Me napenda games..na nilianzia kucheza PC games lkn nilivyoonja utamu wa FIFA 17 Kwny PLAYSTATION 4 na baadae FIFA 18 dah ni balaa..yan hamu ya kucheza games za mpira kwny PC iliisha kabisa..
Playstation huwezi patch na kumod game kama pc.