PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

Kwa wale wapenzi wa game za mpira kwenye pc karibuni tujumuikeni hapa hasa kwa wale wa pc na hata console pia sio mbaya. Lengo ni kupeana mambo kama yafuatayo-:
Latest patch (update transifer,kit,faces etc)
Tricks na mengineyo mengi.

Binafsi kwa sasa nacheza zaidi pes 2017( Nimeupdate next season 2018-2019.) Hii ni kutokana na kuwa ni jepesi na zuri kwa graphics. Likihitaji processor ya 2 duo, 1gb ram na mb512 vram.(gpu)
Kama umekwama mahali, tatizo lolote uliza hapa wadau tukujibu.
Nb:Game kwetu burudani kama burudani zingine.
Mkuu una-update vipi PES? Pia hapo kwenye vram napata shida kidogo maana ninashindwa kusave data
 
Siku hizi fifa ni nyepesi kuliko pes.
ila nafurahi pes 2017 ndo game lao la mwisho jepesi likuwa na gb ndogo kama 3.4 tu kwa repark. Huku bado likiwa na graphics kali.

Ndo mana hata watu wa patch wanalipa ushirikiano sana.
 
Mkuu una-update vipi PES? Pia hapo kwenye vram napata shida kidogo maana ninashindwa kusave data
Update unadownload kusha unainistall moja kwa moja kwenye installation foder ya game lako.


Kuhusu vram ni hardware inayohusika na maswala ya ku process video na graphic kwenye pc
 
Update unadownload kusha unainistall moja kwa moja kwenye installation foder ya game lako.


Kuhusu vram ni hardware inayohusika na maswala ya ku process video na graphic kwenye pc
Napenda game za soccer japo siyo mkongwe kwenye Hili. Mimi Natumia PES 2016 na magoli yangu mengi nafunga kwa #1 kwa kutumia Ucom. Tatizo huwa napaisha na kugongesha kwenye post mipira mingi Sana. Unakuta shots 8-12 on target 2-4. je nikitaka kupiga shut la chinichini nafanyaje? Maana mashuti ya chinichini huwa nayabahatisha.
 
Napenda game za soccer japo siyo mkongwe kwenye Hili. Mimi Natumia PES 2016 na magoli yangu mengi nafunga kwa #1 kwa kutumia Ucom. Tatizo huwa napaisha na kugongesha kwenye post mipira mingi Sana. Unakuta shots 8-12 on target 2-4. je nikitaka kupiga shut la chinichini nafanyaje? Maana mashuti ya chinichini huwa nayabahatisha.
Me huwa natumia box then O.

Au bonyeza kidogo sana box.

Halafu download pes 2017 .ndo naona zuri zaidi.
 
Napenda game za soccer japo siyo mkongwe kwenye Hili. Mimi Natumia PES 2016 na magoli yangu mengi nafunga kwa #1 kwa kutumia Ucom. Tatizo huwa napaisha na kugongesha kwenye post mipira mingi Sana. Unakuta shots 8-12 on target 2-4. je nikitaka kupiga shut la chinichini nafanyaje? Maana mashuti ya chinichini huwa nayabahatisha.
Harafu unaweza badili configuration kwenye setting kama zilizopo zinakusumbua..


Kama ushacheza play station. Badili configuration zifanane kama za kwenye pc.
 
Waungwana ndio kama hv shots 17 ontarget 8 lakini vigoli v3 tu na nimetolewa by aggregate
IMG_20180806_232238_476.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom