Dr.dennice
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 216
- 48
Lenovo core i5 200u@2.2oghz 64 bit operating systemSpecification za pc yako kwanza
Lenovo core i5 200u@2.2oghz 64 bit operating systemSpecification za pc yako kwanza
Yaan linacheza fresh sema Lina stack stackLenovo core i5 200u@2.2oghz 64 bit operating system
jiunge bando la usiku.HIYO patch haina jiunshida shida ni kutafuta hiyo GB4
gpu umeicheki? Nahisi itakuwa ndio shida.Yaan linacheza fresh sema Lina stack stack
jiunge bando la usiku.
Inatakiwa iwe ngapgpu umeicheki? Nahisi itakuwa ndio shida.
mkuu mbona sumple tu unaset mitambo kisha unaenda kulala ukiamka kesho yake wewe ni kuinistall tu.hahah lile GB10... dah linatesa kudadeki... baada ya kulala unahangaika na midude.. itabidi nifanye hivyo maana nina shida
Angalau 1gb.Inatakiwa iwe ngap
unawajua VODA au UNAWASIKIA..?? sijui nina balaanao gani unakuta unaweka moderm ipo on.. baada ya dk 30 unaikuta imezima... kama ukijisahau tu.. unapitiliza hadi asbh alaf unakuta only 2gb downloadedmkuu mbona sumple tu unaset mitambo kisha unaenda kulala ukiamka kesho yake wewe ni kuinistall tu.
Simu huna uikonect au njoo nikupe. Kama uko dar.unawajua VODA au UNAWASIKIA..?? sijui nina balaanao gani unakuta unaweka moderm ipo on.. baada ya dk 30 unaikuta imezima... kama ukijisahau tu.. unapitiliza hadi asbh alaf unakuta only 2gb downloaded
nitatumia HALOTEL..
upo wap mkuu nijeSimu huna uikonect au njoo nikupe. Kama uko dar.
mbali kidogo ukonga mombasa.upo wap mkuu nije
aah kumbe hapo HATA kwa mguu NAKUJAmbali kidogo ukonga mombasa.
Wewe tu.aah kumbe hapo HATA kwa mguu NAKUJA
Fps ngapi?Mkuu umewahi cheza game yyt kwenye pc yenye core i7 na gpu ya nvidia 950 + au gtx 1050 +?
Tangu niijue utamu wa become a legend. Now nishasahau master league, mara ya mwisho nilikuwa kocha wa boca junior.Mkuu nkajua mambo haya upo vzuri sana ndo raha yetu hii Mkuu mm nacheza 2017 tho lina patch ya 2017 na jezi bt master league inanipotezea mda....nipo 2065
Punguza graphics mkuu, inakubaliaaah now days naona nao wanazingua kuanzia walivyotoa pes2018. Wanawaiga fifa viwango vinakuwa vikubwa mno kiasi wenye mashine za kawaida tunakwama.