bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,207
- 20,117
Huyu atakuwa hajui mpira kabisaaaaa...wee mtu alitenegeneza timu inapiga mpira mpaka kibabu fergei anatetema
Mambo mengine una shindwa hata kushangaa yaani Pep sio best coach?Kachukua E.P.L Back to Back unamuita kocha mmbovu !!!
Hebu taja makocha waliowahi kuchukua E.P.L Back to Back tangia ilipobadilishwa mfumo wake miaka ya 90..... Mi naanza na mou na Ferguson
Sent using Jamii Forums mobile app