Mjadala ; Je, Ernesto Valverde ambaye ni kocha wa Barcelona anastahili lawama?

Alvajumaa

JF-Expert Member
Jul 5, 2018
4,953
6,071
Naam
Timu ya Barcelona imetolewa michuano ya klabu bingwa barani ulaya na timu ya Liverpool,
Kutoka Barca ya Rijikaard, Pep Guardiola, Luis Enquirie ( rekebisha) na sasa yupo Valverde bado Barca anapitia kipindi kigumu,
Barca ya pep ilikua ni " team work" yaan wote wanacheza na kufunga, unatengeneza nafasi yeyote ashinde...

Kipindi cha Luis Enrique yeye alitegemea utatu mtakatifu wa MSN (Messi, Suarez , Neymar jr)waliweza kushinda kombe la uefa,
Imepita takriban miaka 6 toka wachukue UCL mpaka sasa wamebadilisha makocha lakini wanaishia tuu kuchukua la liga,

Pamoja na ahadi za la pulga kwamba watabeba ndoo lakini jana walikutana na magical comeback, nini tatizo la Barca? Wachezaji? Kocha? Bodi?
Team ina messi peke yake the rest ni mediocre tu wakawaida saaana...
Kingine makocha wengi wanaokuja sasa lazima bodi wapate baraka kutoka kwa Messi, Messi anao uwezo wa kushauri kocha gani au mchezaji gani aje katika timu...
Kocha badala ya kufundisha mpira anakua shabiki wa Messi ( rejea Sampaoli),
Tujadiliane je Valverde anastahili lawama? Ni wakati wa kujiuzulu?
 
Yule kocha hafai atimuliwe tu, two come back consecutively,

Kama kocha goli la mapema lile ilitakiwa afanye kitu kabla hayajatokea ya As roma

Lakin muda wote kaweka mikono mfukoni, anasubili wachezaji wafanye yao

Badala yeye ndio atoe mbinu, hana sauti, hana mbinu ni mjinga sanaaa

Tatizo anamshabikia mess badala ya kumkoch

Barcelona ni gange la wahuni tuu

Kwa mtu anayejitambua huwezi pigwa comeback mara mbili mfululizo, ni aibu sanaa
 
Naam
Timu ya Barcelona imetolewa michuano ya klabu bingwa barani ulaya na timu ya Liverpool,
Kutoka Barca ya Rijikaard, Pep Guardiola, Luis Enquirie ( rekebisha) na sasa yupo Valverde bado Barca anapitia kipindi kigumu,
Barca ya pep ilikua ni " team work" yaan wote wanacheza na kufunga, unatengeneza nafasi yeyote ashinde...

Kipindi cha Luis Enrique yeye alitegemea utatu mtakatifu wa MSN (Messi, Suarez , Neymar jr)waliweza kushinda kombe la uefa,
Imepita takriban miaka 6 toka wachukue UCL mpaka sasa wamebadilisha makocha lakini wanaishia tuu kuchukua la liga,

Pamoja na ahadi za la pulga kwamba watabeba ndoo lakini jana walikutana na magical comeback, nini tatizo la Barca? Wachezaji? Kocha? Bodi?
Team ina messi peke yake the rest ni mediocre tu wakawaida saaana...
Kingine makocha wengi wanaokuja sasa lazima bodi wapate baraka kutoka kwa Messi, Messi anao uwezo wa kushauri kocha gani au mchezaji gani aje katika timu...
Kocha badala ya kufundisha mpira anakua shabiki wa Messi ( rejea Sampaoli),
Tujadiliane je Valverde anastahili lawama? Ni wakati wa kujiuzulu?
Mbona CR7 hukumuona alikuwa tegemeo la timu nzima kwa kufunga magoli ugenini na nyumbani walipokutana na AJAX FC ambapo alipokamatwa yeye timu iliishia njiani tu

ACHA UNAFKI.
 
_20190508_003543.JPG
 
Yule kocha hafai atimuliwe tu, two come back consecutively,

Kama kocha goli la mapema lile ilitakiwa afanye kitu kabla hayajatokea ya As roma

Lakin muda wote kaweka mikono mfukoni, anasubili wachezaji wafanye yao

Badala yeye ndio atoe mbinu, hana sauti, hana mbinu ni mjinga sanaaa

Tatizo anamshabikia mess badala ya kumkoch

Barcelona ni gange la wahuni tuu

Kwa mtu anayejitambua huwezi pigwa comeback mara mbili mfululizo, ni aibu sanaa
Mechi ya kwanza Barcelona 3-0, hukuyaona hayo yote
 
Barcelona 3-0 Liverpool, hakuna timu bora kama Barca na kocha ni mzuri sana, Liverpool 4-0 Kocha mbaya Sana
Kocha mbovu. Wewe watu wanafunga la kwanza na la pili hata hugundui wapi kuna shida ili ufanye tactical tweaking/substitution? Yaani unashindwa kweli kutetea a 3-0 lead? Na hii sio mara ya kwanza. Fukuza huyu Kilaza.
 
Back
Top Bottom