Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Vox Populi Vox Dei ............Latin
pouvoir populaire .............French.
Viongozi wote waliopo madarakani duniani huogopa Misemo hii. Sauti ya watu ni sauti ya Mungu. Haiishindwi hata kwa ndumba na majini ya akina Yahaya Husein , wala mitutu , wala marungu,wala mabomu ya akina Shimbos na wenzake.
Ni sauiti tukufu
Haishindwi kwa fedha wala dhahabu za akina Rostam Azizi na Lowasa. Haishindwi kwa uchakucuhaji wala uchekechaji wa kura . Haishindwi kwa defamatory sms za akina Miraji Kikwete. Haishindwi na maneno ya kilaghai ya Salma Kikwete yule malkia aliyejitwalia madaraka bila kupewa nasi, na wala kwa uchifu wa Ridhwani Kikwete yule Prince wa Wanyakyusa , mlanguzi wa mafuta .
Kwa ufupi ni usemi usio na Mpinzani maana Mungu ndio yuko kati. CCM mwapaswa kulijua hili.
pouvoir populaire .............French.
Viongozi wote waliopo madarakani duniani huogopa Misemo hii. Sauti ya watu ni sauti ya Mungu. Haiishindwi hata kwa ndumba na majini ya akina Yahaya Husein , wala mitutu , wala marungu,wala mabomu ya akina Shimbos na wenzake.
Ni sauiti tukufu
Haishindwi kwa fedha wala dhahabu za akina Rostam Azizi na Lowasa. Haishindwi kwa uchakucuhaji wala uchekechaji wa kura . Haishindwi kwa defamatory sms za akina Miraji Kikwete. Haishindwi na maneno ya kilaghai ya Salma Kikwete yule malkia aliyejitwalia madaraka bila kupewa nasi, na wala kwa uchifu wa Ridhwani Kikwete yule Prince wa Wanyakyusa , mlanguzi wa mafuta .
Kwa ufupi ni usemi usio na Mpinzani maana Mungu ndio yuko kati. CCM mwapaswa kulijua hili.