Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,748
NDIYO.lakini wewe uone kwamba inaashilia VITA????
alama ya nyundo ni vita baina ya washika nyundo (ccm) na waibiwa (wananchi)
NDIYO.lakini wewe uone kwamba inaashilia VITA????
kukunja NGUMI NI HURUKA YA KUTAKA MADARAKA KWA KUPIGANA EEEH??
SISI TUNATAKA AMANi
Hawa chadema ni kawaida yao kutamba kila uchaguzi unapokuja oo nguvu ya umma, mwaka 2005 walikuwa na kauli mbiu hatulalali mpaka kieleweke!! Haya mbona mlilala baada ya hapo mpaka mkakoroma maana siku ile alipoapishwa kikwete mbona mbowe alihudhuria hafla hiyo? Kilieleweka nini? Kama mulikuwa na nguvu ya umma mbona hamkuungana na cuf ktk kuutumia umma ule kutomtambua kikwete? Au kuna kamchezo kalichezwa hapo(ufisadi)????
Mwaka huu mumekuja na peples power tena haya yetu macho ila ninavyo wajuwa chadema baada ya matokeo kama viongozi wenu hawatacheza mchezo mchafu basi musije mukadai mumeibiwa kura!!! Kwani wenzenu cuf walipokuwa wakichezewa hivyo simulikuwa mukiwakodolea macho eee!!
WANAOHUDHURIA MIKUTANO YA CHADEMA KAMA KAWAIDA YAO HUWA WANAMSIKIZA MGOMBEA WA CHAMA HICHO LAKINI SIKU YA UCHAGUZI WANAJUWA NANI WA KUMPA AU SIYO? NA KUNA WATU WENGI WANAOHUDHURIA MIKUTANO YA KAMPENI HASA YA WAPINZANI LAKINI UKIHESABU WALIOJIANDIKISHA UTAKUTA NI 20% PEKE YAKE!!!!
Mwaka huu ni sisi hatutalala mpaka kikwete amalizie miaka yake mitano!!!
Wewe mbona unaogopa sana kupigana na huku ukijua CCM ndiyo mwanzilishi wa vurugu zote zilizowahi tokea kule Pemba na kuuwa Watanzania wasio na hatia. Kama hupendi mapigano basi ni muda mnzuri kawambie ndugu zako wa NEC na CCM wasijaribu kuiba, wala kuchakachua matokeo!!. Waache Nature ichukue nafasi yake atakayeshinda na awe ameshinda!! LASIVYO HIZO NGUMI ZITAWABONDA KWELIKWELI.
Aongee taratibu kwani yeye mgonjwa?
Kwani hizi pete zina matatizo gANI??
Majini