Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Wanataka amani ili Mzee APUMZIKE vizuri................
Mtu akileta za kuleta basi atakiona:
Mbona mgombea udiwani wa CHADEMA, Arusha, amepigwa mpaka kapelekwa hospitali, hoi, AKIWA MAHABUSU ya polisi? Ubaya wa CCM hamuuoni? Mnauona wa CHADEMA tu? CHADEMA CHAMA CHA AMANI! Msitukere!
STOP, have a time (MC Hammer - I can't touch this).
Mtu akikunja ngumi anaashilia nini??
Kukunja ngumi ni kuonyesha guvu ya umma
lakini nyundo ni dadili ya unyanganyi
lakini wewe uone kwamba inaashilia VITA????
Hata kiswahili tu taabu!
LAKINI SI UMEELEWa???
Hatuna neno hilo kwenye kiingereza, jamani mnasumbuka bure kubishana na mtoto wa madrasa.NOT EQUEL To..........................................
Peoples powerKuwang'oa mafisadi unafikiri inahitaji watu lelemama