M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
There is no chagga tribe but just different groups of people living around that mountain of Kilimanjaro with the following characteristics:
WAROMBO:kazi mtindo mmoja! Wanawake tunawaita KUBOTA aina ya matrekta yaliyosambazwa Kilimanjaro na wajapani,watafutaji wa pesa!!!! We acha tuu,lakini ukimchezea anakuua na kukimbilia kenya.
Hapo kwa Warombo umenikumbusha mbali sana, nilibahatika kuishi huko kwao kwa miaka takribani minne hivi, sifa yao moja ni kwamba ni wakarimu na wachamungu sana kwakweli sijawapatia mfano wao, wanawake wa kirombo wanalima kama trekta wakati waume zao wanashinda kwenye mbege tu, hawa ni wakulima wazuri sana lakini wakati wa ukame wao ndio wakwanza kulia njaa.