Kukunwa kitu gani bana.... Mapenzi ni zaidi ya kukunwaAlikua hakukuni vizuri sasa ukiwaza tena kwenda kupakwa shombo unapotezea
![]()
![]()
![]()
WALLET NN???Kukunwa kitu gani bana.... Mapenzi ni zaidi ya kukunwa
Kina kisa kibaya kwa wahusika bila kinachekesha.Tulishuhudia Tabata. Bibi harusi naomba kaenda toilets. Matron kamsindikiza baada ya mda akatakiws ukumbini haonekani Matron akawaonesha room ya toilet jamaa wakaita kimya.Kuvunja wakakuta miguu inaishia kutoka mle kuelekea upande wa wanaume. Kuulizwa Amalia mhusiks nae ni Mgeni mwalikwa na aliwahi kutoka SMS zake zilikua zinamhimiza Stoke wakaagane fasta kumbe ni ex, Kwaiyo ukimuudhi wife ma x wanamalizaUzoefu wako unashabihiana na hali halisi.
Juzi tu bibi harusi mtarajiwa kakutwa na sms kwenye simu yake
"....Inabidi nije nilale hapo kwako tuagane kabisa maana huyu ndezi atakuwa ananilinda sana. Labda tukutane mara moja kwa mwezi...."
yeah!!! 100% uzi umekaa poa na unaeleweka mno. True hilo penzi halifi hata kdogo. Big up saana mleta madaHabari ndugu zangu,
Kwa uzoefu wangu nimegundua kuwa penzi lililoisha kwa amani aidha kwa kuachanishwa na mazingira au sababu nyingine yoyote huwa haliishi. Akitokea mmoja kugusia tu , ishu inaanza upya.
Kinachohitajika ni busara tu za wahusika, mmoja akikomaa tu 'kinanuka' upya!

Yaani ni kweli kabisa.Sometimes unaweza kupotezea lakini ukakuta ex wako yuko kwenye uhitaji wa hali ya juu hadi ukajiuliza uko alipo kunani?
kwel saana aseeeYeah its from references from ma own life regardless of new status things will moveyeah!!! 100% uzi umekaa poa na unaeleweka mno. True hilo penzi halifi hata kdogo. Big up saana mleta mada![]()
![]()
![]()
![]()
Hiyo nisawa na kutumia mua kama fimbo ya kutembelea jangwa huku ukiji sahaulisha kwamba njaa itakapo kushika lazima uuleHabari ndugu zangu,
Kwa uzoefu wangu nimegundua kuwa penzi lililoisha kwa amani aidha kwa kuachanishwa na mazingira au sababu nyingine yoyote huwa haliishi. Akitokea mmoja kugusia tu , ishu inaanza upya.
Kinachohitajika ni busara tu za wahusika, mmoja akikomaa tu 'kinanuka' upya!