mwihomeke 1
Member
- Dec 3, 2016
- 45
- 17
Huo utafit umefanywa na twaweza nni
Usikute ni kibamiaNdio Maana Ex-gf wangu cku hizi kila cku haishi kunipigia cm...
Nadhani bado hajalipata lishkaji la kumsugua kama mie... Amemiss DUSHE langu, MKURUNGU wangu, ukuni wangu....
Niko juu... Kama kichuguu...
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng

Mi kwangu hakuna tukiachana ndoHabari ndugu zangu,
Kwa uzoefu wangu nimegundua kuwa penzi lililoisha kwa amani aidha kwa kuachanishwa na mazingira au sababu nyingine yoyote huwa haliishi. Akitokea mmoja kugusia tu , ishu inaanza upya.
Kinachohitajika ni busara tu za wahusika, mmoja akikomaa tu 'kinanuka' upya!
kwanza na delete kbs no ya uyo mtu nkikutana na ww hi nmepita huwa sutaki kbs kurudi huko naona km najishushia heshima yangu na uyo mtu atanidharau.. Mi sipashi ngoooo bora nianze upya kwa mwingine.Yaani hata km hakuna mazingira ya kuwagombanisha inabidi utengeneze zengwe tu kwa usalama wenu na moyoni unakuwa unajua si kwa ubaya
Very trueHabari ndugu zangu,
Kwa uzoefu wangu nimegundua kuwa penzi lililoisha kwa amani aidha kwa kuachanishwa na mazingira au sababu nyingine yoyote huwa haliishi. Akitokea mmoja kugusia tu , ishu inaanza upya.
Kinachohitajika ni busara tu za wahusika, mmoja akikomaa tu 'kinanuka' upya!
Usikute ni kibamia![]()
![]()
![]()
![]()
Hivi hujui kuwa kila mtu ana utamu wake?Kwa kawaida kikipita kipindi fulani hisia juu ya ex wako mliyeachana kwa amani zinaweza kujijenga upya.Kunakuwa na internal na external factors.Mfano kama mwenzi wako mpya atakuwa na mapungufu uwanjani.Mi kwangu hakuna tukiachana ndokwanza na delete kbs no ya uyo mtu nkikutana na ww hi nmepita huwa sutaki kbs kurudi huko naona km najishushia heshima yangu na uyo mtu atanidharau.. Mi sipashi ngoooo bora nianze upya kwa mwingine.
Kweli kabisa ila ilitaka kunigharimu kwenye ndoa yangu maana yule mwanamke tuliachana kwa sababu ya mazingira so nilivyorudi tu Dar si nikakutana naye tena , Tukakumbushiana na michezo sasa si akanogewa .
Nilivyoona vile ikabidi nimzingue kwa vitisho vikali mpaka leo hata tukikutana wawli hatusalimiani kudadeki .
Sipendagi ujinga kabisa
aisee.. Hatari sana.. Salute mkuuTotaly trueHabari ndugu zangu,
Kwa uzoefu wangu nimegundua kuwa penzi lililoisha kwa amani aidha kwa kuachanishwa na mazingira au sababu nyingine yoyote huwa haliishi. Akitokea mmoja kugusia tu , ishu inaanza upya.
Kinachohitajika ni busara tu za wahusika, mmoja akikomaa tu 'kinanuka' upya!
Kafie mbeleSasa mliachana ili iweje kwa mfano?
Habari ndugu zangu,
Kwa uzoefu wangu nimegundua kuwa penzi lililoisha kwa amani aidha kwa kuachanishwa na mazingira au sababu nyingine yoyote huwa haliishi. Akitokea mmoja kugusia tu , ishu inaanza upya.
Kinachohitajika ni busara tu za wahusika, mmoja akikomaa tu 'kinanuka' upya!
Alikua hakukuni vizuri sasa ukiwaza tena kwenda kupakwa shombo unapotezeaSi kweli, inategemea mtu na mtu. Kuna mmoja enzi hizo chuo tuliachana kwa amani nikaja kukutana naye maisha yamemkubali akaleta hizo falsafa.....aliangukia pua.
Nikisha move on wala usijisumbue.
