RingaRinga
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,052
- 529
Yaani hata km hakuna mazingira ya kuwagombanisha inabidi utengeneze zengwe tu kwa usalama wenu na moyoni unakuwa unajua si kwa ubayaEeh wakati mwingine kuachana kwa amani kunakorofisha bora kukinukisha