Umenitoa Gizani
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 387
- 182
Habari ndugu zangu,
Kwa uzoefu wangu nimegundua kuwa penzi lililoisha kwa amani aidha kwa kuachanishwa na mazingira au sababu nyingine yoyote huwa haliishi. Akitokea mmoja kugusia tu , ishu inaanza upya.
Kinachohitajika ni busara tu za wahusika, mmoja akikomaa tu 'kinanuka' upya!
Kwa uzoefu wangu nimegundua kuwa penzi lililoisha kwa amani aidha kwa kuachanishwa na mazingira au sababu nyingine yoyote huwa haliishi. Akitokea mmoja kugusia tu , ishu inaanza upya.
Kinachohitajika ni busara tu za wahusika, mmoja akikomaa tu 'kinanuka' upya!