Penzi la mtandaoni

Huyu anayejiita watu8 kaandika kitu ambacho kusema kweli waweza jiuliza, is this a real man? Wanawake huwa ndio husema na kuandika vijineno kama hivi...

Hebu muwaaache kuna mda watu tuna burudika banaaa
 
Last edited by a moderator:
hapa wengine watakuponda...wengine watakuja PM kimya kimya...mafanikio mema mkuu
 
hahahaha! Loh! Huyo ni mdogo wake pinda humuoni?

Heshimu na ww uheshimiwe pls!

Pinda ni mzazi kama alivyo baba yako na kibaya zaidi mtoto wake 1 nina uhakika asilimia zote ni mwana member JF;atajisikiaje akisoma comment yako kuhusu mzazi wake?

Kama ww ni mzuri shukuru Mungu hamna haja ya kudharau mnao waona nyie wabaya!Hii ni moja kati ya sred nzuri MMU iliyopata wachangiaji wa hovyo hovyo!
 
mmmh Malafyale umejuaje kama hiyo ni pic yake halisi? au mnafahamiana?
DEMBA mtu akisema hii ndiyo picha yake acha tuamini kama ni picha yake!Hata ww leo uweke picha ya Ray C na kutuambia ni yako mm nitaamini kama ni yako!

Mbona juzi tumewekewa picha ya Mspaniola anayepiga kiswahili fasaha zaidi hata ya Mndengereko;Nani alibisha?Tulimsifia bila kukashifu lolote!

You get me DEMBA;tusikataze challenges lkn ziwe constructives sio kama hizi
 
Last edited by a moderator:

umesomeka.........................ila dont take jf comments seriously...... humu wengine tunajitolea stress tu.
 
Endelea kujitangaza utampata tu utakaye endana naye ila co kilahisi lahisi
 
Yaani kujitolea stress kwa bullying other people??!! Una Imani mtu unayemkejeri atakuwa anajua unatoa stress na wala humaanishi unachosema??!! Acheni jamani sio tabia nzuri.
 
Huyu lazima atakua mtu kutoka Afrika Magharibi
 
Huyu anayejiita watu8 kaandika kitu ambacho kusema kweli waweza jiuliza, is this a real man? Wanawake huwa ndio husema na kuandika vijineno kama hivi...

Hapana mkuu Eli79
watu8 is the one of few MMU's "bone fide" who never go negatives

Hili nahisi yy alichukulia utani tu!
 
Last edited by a moderator:
umesomeka.........................ila dont take jf comments seriously...... humu wengine tunajitolea stress tu.

The same to me!JF is my stress reliever!

lkn kama kuna mwingine anataka kuitumia JF as a dating site tusimkwaze wala tusizodoe picha zake!
 

kwani we umeelewaje mkuu?tuanzie hapo!!
 
Mhh username yako inatisha,badilisha kwanza,thn weka detailed cv including latest salary slip....haha

Ndo mapenzi ya siku hizi, eti inapendwa pochi mengine mnavumiliana.


"Never hate the game..change the game"
 
mkuu weka picha nyingine, safari hii piga pembeni ya gari & haijarishi kama ni la jirani & shika atm card kadhaa mkono wa kushoto wa kulia noti nyekundu kadhaa. Utawapata tu.


(Usisahau kutabasamu )

Dah mzee umenichekesha... Teh teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…