Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,195
hii imenishangaza sana
mdada mmoja kwenye kipindi cha wanawake live amesema eti wadada wengi siku hizi wanajiingiza kwenye mapenzi sio kwa sababu wanawapenda sana wanaume bali ni kutokana na mfumuko wa bei unaondelea hapa nchini
eti wanawake wako tiyari kuishi na mwanaume asiyempenda ilimradi anamuwezesha kifedha
amekwenda mbali zaidi kwamba mfumuko huu wa bei za vitu ndio unaopelekea ndoa za fashion..
Wadada na wamama ya kweli haya?
mdada mmoja kwenye kipindi cha wanawake live amesema eti wadada wengi siku hizi wanajiingiza kwenye mapenzi sio kwa sababu wanawapenda sana wanaume bali ni kutokana na mfumuko wa bei unaondelea hapa nchini
eti wanawake wako tiyari kuishi na mwanaume asiyempenda ilimradi anamuwezesha kifedha
amekwenda mbali zaidi kwamba mfumuko huu wa bei za vitu ndio unaopelekea ndoa za fashion..
Wadada na wamama ya kweli haya?