Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
Katika umri wa miaka 38 sasa nina mke na watoto watatu,sometimes najuta why she came into my life,this single mom, very cute,beautiful,sexy and sweet.
Kama ningekutana nae kabla ya kuoa,lakini ndo basi tena. I have another life to live, Iam tied to somebody tena Kanisani tangu tukutane amenionyesha kunipenda sana,siyo siri nami nimefall kwake vibaya.
Amekuwa anaiba na amekiri ni ngumu kuachana na mimi, yuko tayari hata kuwa mke wa pili, siwezi kumwambia haiwezekani pia nakosa uwezo wa kumuondoa katika maisha yangu kwa kuwa nampenda.
Seriously nahitaji ushauri, kwa akina baba wenzangu uzoefu wenu utanisaidia sana, kwa akina mama pia siyo mbaya kama una la kusema.
Kama ningekutana nae kabla ya kuoa,lakini ndo basi tena. I have another life to live, Iam tied to somebody tena Kanisani tangu tukutane amenionyesha kunipenda sana,siyo siri nami nimefall kwake vibaya.
Amekuwa anaiba na amekiri ni ngumu kuachana na mimi, yuko tayari hata kuwa mke wa pili, siwezi kumwambia haiwezekani pia nakosa uwezo wa kumuondoa katika maisha yangu kwa kuwa nampenda.
Seriously nahitaji ushauri, kwa akina baba wenzangu uzoefu wenu utanisaidia sana, kwa akina mama pia siyo mbaya kama una la kusema.