PENZI LA DADA/KAKA WA DAMU MOJA?

PENZI LA DADA/KAKA WA DAMU MOJA?

ina maana enzi za adam&hawa, watoto wao walizaliana vp km siyo wao kwa wao?
 
ila kuna mmoja aliyenifuarahisha akasema kiukweli ukiona kaka/dada yako wa toka nkutoke anakupenda na anataka ale mzigo basi ujue hyo sio dama ya baba yko ila mama alichepuka kiaina maan haiwezekan kwa dada au kaka wa du kupeana utamu.

Ni vyema ukweli ujulikane kwa mama kuthibitisha kama huyo mtoto ni wake wa kihalali au la.
 
Back
Top Bottom