Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,816
- 33,488
kwani biblia inasemaje katika hilo???
Jibu la mdau,
Ndio ubaya wa story za kutunga....mara nyingi zinaishia hewani pasipo na majibu ya maswali yatakayo ibuka....kama Mungu ndiye aliyeumba watu basi angeumba wanawake na wanaume wakutosha ili wasizalishane ndugu kwa ndugu.....na kama aliruhusu ndugu kuzaliana, kwa nini akataze sasa hivi???
https://www.jamiiforums.com/threads...-hawa-je-wake-zao-ni-kizazi-cha-nani.1116005/
Jibu la mdau,
Ndio ubaya wa story za kutunga....mara nyingi zinaishia hewani pasipo na majibu ya maswali yatakayo ibuka....kama Mungu ndiye aliyeumba watu basi angeumba wanawake na wanaume wakutosha ili wasizalishane ndugu kwa ndugu.....na kama aliruhusu ndugu kuzaliana, kwa nini akataze sasa hivi???
https://www.jamiiforums.com/threads...-hawa-je-wake-zao-ni-kizazi-cha-nani.1116005/