Penye wengi pana wengi...

Penye wengi pana wengi...

Hatuwezi kufanana.........

wacha wajiachie tu , ilimradi hawavunji sheria , taratibu na kanuni.........
 
Na ajabu zaidi mada zao zina wateja zaidi.....teh teh

Teh teh......na wateja kupotea ni ngumu labda kizazi chote kife kije kipya.

Ha ha ha anaweza akaleta na tusione za maana vilevile.Mboga maharage....nyama hamu.Wateja ndo tusikilizwe tunataka nn!!!

ujio wako huu ,,,,,,,,

unanikumbusha story ya babu kuwa ukimuona mwanamke ameaamka asubuhi anafurahi kwa kuimba imba basi ujue.......................:A S wink:
 
Lakini kuna muda mtu anakuwa anahitaji ushauri wa jambo fulani japo watu wanachukulia mzaha lakini hapa watu wanapata msaada kiushauri kwahiyo kuhusu kuongea mambo yao sioni kama ni shida kama sio hivyo nini kitaongeleka hapa utatoa ushauri kwa mtu kwa lipi kama hajaeleza shida yake.
Ila sasa watu wapunguze mizaha kuna mada nyingine ukisoma kichwa cha habari tuu huwezi kuingia hata ndani.
 
Back
Top Bottom