Haiwezekani kila wakati kuwe na na mambo ya msingi,jukwaa litapooza.
Wengine JF ni sehemu ya kupitisha siku kwa burudani.kwahiyo drama queens and kings they do it all,sio kila mara tusikilize vilio na shida za watu.The whole situation ya mahusiano na kusikia huyu kamwagwa,yule yupo na huyo mara vijembe vya hapa na pale feels like a tv series and it's funny.
Japo kuna thread zingine ni utumbo kweli ila ndio maisha,lazima kuwe na mchanyato wa upuuzi,vichekesho na mambo ya msingi.so uzi wako hauna mashiko kiiiivyo
Kama unahisi kila private issue ya hizi relationship za humu ni za kweli basi pole,umeshawaita drama queens and kings then how can u think that what they say is true? Wanafurahisha jukwaa tu ila mengi ni ya kutunga ili watu tufurahi.