Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,811
- 623
Thus y wengine tunaishia kuwa wasomaji tu, nipo humu kitambo sana hakuna siku ambayo siingii kuna mada huwa nasoma tu nafurah na kucheka but kuna nyingine uharo mtupu
Waacheni tu waje ili tuwajue vizuri japo tunatumia fake ID's.
Ni hayo tu kwa sasa kama una ya ziada ongezea....
- Kuna wale ambao wana ID tatu tatu,whom are you fooling?
Watakuelewa bana..na sisi watanzania tulivyo na ujuaji wa kishamba shamba..utaona tu majibu hapa..nakua bored kuingia jf sijuhizi..kwa sababu ya mambo uliyoandika hapo..
cc gorgeousmimi
wakati mwingine ni kutojua mambo(exposure ndogo), kuwa na grandiosy behavior, na ujuaji ujuaji tu...wengine tukiwaambia wanalia lia na kusema tunafuatilia..solution ni kutoingia tu wakati mwingine
jambo wewe...
Kuna ambao wanajiona wapo huru kuandika/kuquote utumbo wowote ule,LADY/GENTLEMAN PLEASE....uliisoma part hii?Samahani gorgeousmimi sitakushika shika tena mbele za watu, narudia tena samahani mpenzi kama nilikuumiza moyo.
Mimi hapana potea bana...ila tu nimekuwa kama Jua, kuna muda utaniona na kuna muda hutanionaJambo....mambo?potea sana wewe??
Habari za saa hizi,
Jamani Jamiiforums siku hizi imejaa maigizo....sielewi watoto ambao hawajapevuka ni wengi au ndo penye wengi pana mengi??
Tujifunze kuweka mambo yetu personal private jama...haumnufaishi yoyote kuanika mambo yako hadharani bali unajiexpose na unawapa vizabizabina maneno ya kusema...na uhusiano huo unakuwa na nafasi kubwa ya kutokudumu!!Hakuna mtu anayetaka kujua upo na nani na kwaajili gani au umeachana nae lini.Sisemi kwa ubaya na sikatai kupenda na kupendwa raha lakini kumbuka hio raha yako si ya wote,tunafurahi tukiona watu mnapendana na mapenzi shamsham lakini keep it low people,cause thats how matured people do it...YOUR LOVE LIFE IS YOUR PERSONAL BUSINESS!!
- Kuna wanaopendana,wakaachana hadharani(LOVE IS IN THE AIR):A S wink:
Tuwe na heshima,fikiri kabla hujaandika kitu,hii ni sehemu yenye watu tofauti wa rika tofauti.Kuna wengine wanakuzaa,kuna mpaka babu zetu,jiheshimu nawe utaheshimiwa.Tutoe mada ambazo zitakuwa na manufaa kwetu ambazo zitachangamsha ubongo wetu na kujenga jamii yetu.
- Kuna wanaokuja na mada za ajabu ambazo hazina misingi yoyote sielewi watu hawa wanafikiri nini??
Ndio hatujuani lakini tunatambuana utu wetu kutokana na fikra zetu kutokana na michango yetu.na michango hiohio inatutambulisha sisi ni watu wa aina gani.
- Kuna ambao wanajiona wapo huru kuandika/kuquote utumbo wowote ule,LADY/GENTLEMAN PLEASE....
Sijui kama kuna kitu ambacho hakiwatokei,misukosuko yote huwapata wao,NAJUA LIFE IS UNFAIR...Lakini kila mtu na shida zake.Watu wakiamua kuzianika hapa tutatafutana....
- Kuna drama queens na kings ambao kila kukicha ni full dramas.
Ni hayo tu kwa sasa kama una ya ziada ongezea....
- Kuna wale ambao wana ID tatu tatu,whom are you fooling?