Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
Alafute Kesi Kwani yeye alienda Polisi ...hata HAJUI kinachoendelea Polisi na ameshasema kuwa mambo ya Serikali hayamuhusu ...yeye lake ni msamaha basi
Kesi inamhusu yeye,hivyo anaouwezo wa kwenda kuifuta.Ni yeye aliyetukanwa.Pope Yohane Paul II alipigwa risasi lakini alipomsamehe mbaya wake alihakikisha na kesi yake inafutwa na mfungwa yule akawa huru.
Hii yawezekana hata Pengo akafanya.