Pengo: Nchi imeoza!

Ninyi mnaomponda Nyerere mna matatizo binafsi

Nyerere alijitoa kwa manufaa ya hii nchi,alikuwa na uwezo wakufuja mali zote za Tz kwa jinsi yeyote ile.

Mwizi na Baba wa ufisadi ni Mwinyi huyu ndiye aliuza hata madawa ya kulevya na mkewe,alivunja azimio laarusha akiwa zenj kuingiza mwanya ya ufisadi,aliuza mbuga zetu kwa waarabu, alianzisha fujo za kidini,....

Nyerere hakuchoka,akshindwa kuvumilia akaanza kumchapa madogo kwa speech na maandiko, alitamka waziwazi kuwa "Serikali ya awamu ya pili inanuka".

Mwinyi mwinyi mdini period....ndiyo chanzo cha ufisadi Tanzania.
 
Baba Pengo kazi umeifanya, waache na wengine wamalize ungwe yao

Wanaotaka utaje mafisadi hawana nia njema na wewe,wanataka uwache kupambana na mafisadi, uanze kujibizana na mafisadi.

Kila mtu ana mdomo na pumzi yake, anayejisikia kutaja ataje hayo majina, kwani Pengo ndiyo midomo yenu na pumzi zenu

Give me a break!!!!!!!!!!!!!
 

Afterall, Pengo hakuenda kwa ajili ya Lowassa as such maana yeye siyo Mkatoliki. Mke wake ndiye Mkatoliki na alikuwa anazindua kitabu. Hata hivyo, katika Kanisa Katoliki padre au askofu hapaswi kumbagua mtu, maana kuwa naye ni namna mmojawapo ya kum'challenge'! Nakumbuka binafsi nilikuwa nafanya 'counselling' kwa watu wanaoitwa 'seriel murder suspects' Pentoniville Prison, Uingereza.

Mtu anakwambia amemwua mkewe, watoto, wazazi nk na anakuonyesha picha zao lakini anasema hakumbuki kama ni yeye aliyefanya hivyo ila ndivyo anavyoambiwa etc.

Na unamsikiliza mtu ambaye anaongea 1hr bila interruption na akimaliza anasema: thank you for listening to me! It's the first time to have this experience and I feel my life has changed. Because of my criminal records I had come to believe there was no God and there was no love and now I start seeing some sort of peace within myself and I believe there's God!
 
Kinara wa kweli anayepigana na Ufisadi nchini Tanzania ni Dr. Wilbroad Slaa ambaye ndie anafaa kuwa Rais wa Tanzania mwaka 2010.

Hao Mashehe, Maaskofu na Wachungaji asilimia kubwa ni wapambe wa Mafisadi na Chama Cha Majambazi (CCM). Kikwete kwao alikuwa chaguo la mungu na walimpamba kila kona kwenye misikiti na makanisa yao.
 

Ha ha ha..naona sasa umeishiwa kila kona. Ile screen name yangu ya awali ilikuwa imebeba ujumbe mzito na filosfia nyuma yake pia, usidhanie ni akina Pengo tu waliofuzu kwenye filosofia na kujua kuitumia. Kama hukuwa umegundua ile pen name ya awali ilikuwa ina ujumbe gani, basi nakupa pole mara mbili, kwa hili na lile pia.

Afterall I'm also done with you because I have nothing to gain from a great sinker like you. Retarded and hopeless.
 
Huna ujumbe wowote wala filosofia zaidi ya uzumbukuku na ubwege unaouonyesha katika maandishi yako mengi. Kama nilivyokwambia ni vizuri ukarudisha lile jina lako la zamani la Utindio wa Ubongo kwa sababu ndio linaendana kabisa na ugando wa akili zako, wewe ni bwabwa wa akili na unajijua kwa dhati kuwa ni bwabwa wa akili nadhani ni bora ukaacha kuchangia mambo yaliyo zaidi ya uwezo wa akili zako za kisenene.
 
Kweli nchi imeoza.Lakini zamu ijayo sijui itakuwa ni kanisa au misikiti? maana kama kweli tunataka changes lazima zianzie nyumbani kwetu.Vinginevyo ni yaleyale ya kuendeleza unafiki
 
Kweli nchi imeoza.Lakini zamu ijayo sijui itakuwa ni kanisa au misikiti? maana kama kweli tunataka changes lazima zianzie nyumbani kwetu.Vinginevyo ni yaleyale ya kuendeleza unafiki

Tuanze nyumbani, twende misikitini na makanisani, PENGO anahakika kabisa kuwa hakuna demokrasia ya Kimaandiko makanisani, kuna kubaguana na kila siku tunasoma wao maaskofu wanavyolimana, kuzushiana, kushtakiana n.k, then twende makazini, n.k

Kusema nchi imeoza is one way, na nikisema makanisa na misikiti yetu imeoza, is another way of explaining the same thing. Na ngoma inakuwa droo!

We need changes in small institution na sio kufikiri hawa akna JK wametoka sayari ya Mars kumbe wamelelewa katika jamii inayoabudu ufisadi ni ujanja, ila kila mmoja anajiona kama sio fisadi. waziri ni fisadi na mesenger siyo fisadi for the same wrongdoings!

wansali wapi hawa mafisadi, wanasimikwa na nani, wanatoa sadaka wapi, wanalindwa na nani, wanajificha wapi, JIBU MAKANISANI NA MISIKITINI!

Dini haitaweza ku-escape kwa hali ya sasa ya taifa hili never!
 

Mambo ya mwezi "mtukufu" hayo!

takbiru alaa walibaluu!
takbiru alaa walibaluu!
takbiru alaa walibaluu!
 
Uwanja wa matusi...... Unachotakiwa kujua ni kwamba Pengo anatumiwa na west. Na aepewa go ahead na Rome.

Silaha za kumlinda zimeshatayarishwa. Wanaosema eti wanapeleka vifaru Pemba kwa kuhofia mchafuko wa siasa, wamemiscalculate. Vifaru wangepeleka kwa Pengo badala yake.

Sisi tunaangalia tu ni nani atashinda ngoma hii. Ya mwembe chai tunayajua sasa haya sijui yataishia wapi?
 
Message ya Mkuu Sungi ni sahihi, haijamaansiha tayari Askofu kesho changanya dini na siasa ila "its a reminder that he should be careful as he may find himself preaching politics" jambo ambalo siyo sahihi kwenye Taifa lisilo na dini.
 


Sikujuwa kama JF watu wenye ufikiri mdogo tuko wengi!!! No wonder JK anadai waraka umewatia hofu kumbe anawatishia waTZ nyau bila wao kujua na sasa tumewaona waliomwamini!!!! No wonder alifanya live show!!!
 

Pale mwanamme anapoishiwa hoja ... lakini inabidi atue hasira yake ... kaazi kweli kweli

I wish tungekuwa tunachajiwa kwa kila post tunayotuma ...
 
Maana watu wana ogopa na Pengo anaona watu masikini wanaongezeka kwenye vigango, Parokia , Jimboni kuna nafuu maana ni mijini lakini badi kuna shida zaidi .Pengo anasema kama Mtanzania na kiongozi wa kiroho pia .Anayo yasema yapo ama hayapo ? Kama asemayo anazusha basi ahojiwe na serikali na kama yapo basi wakae kimya watoe haki .
 
Moderator JF, una hakika kweli JF Haijaoza? Mbona kijiwe cha hoja nzito kinatawaliwa na mjadala wa nafsi badala ya hoja! Tena wengine wanatukanana! Ni aibu kwa JF, imenisononesha! Tena matusi mengine yanalenga imani za watu, si sawa; huwezi ukawawekea breki hao kina Zawadi?
 


Zawadi amekuwa mchafuaji na mleta majungu na mdini mkubwa na yeye haangalii hata maana ya mjadala ili mradi si uislam basi anaanza zake . Nakuunga mkono
 

Acha vitisho wewe, serikali dhaifu na kifisadi kama ya Kikwete haiwezi kumfanya Pengo lolote au chochote kile.

Hayo mengine yapeleke huko huko Temeke makalambo ulikoyatoa.
 
Zawadi amekuwa mchafuaji na mleta majungu na mdini mkubwa na yeye haangalii hata maana ya mjadala ili mradi si uislam basi anaanza zake . Nakuunga mkono

apewe ''life-ban'' huyu!hana faida hapa jeiefu,zaidi ya udini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…