Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,790
Angekuwa na kiti mbinguni pembeni mwa Mungu ingekuwa sawa, Roma kama Dar tu sema yenyewe imejengwa kwa ustadi
Kama wewe siyo Mkatoliki hapo uko sawa, lkn kwa Wakatoliki ana nafasi ya kipekee kwa Mungu kwani kati ya Binadamu bilioni 1.23 Mungu kamteua yeye, huyo siyo upekee?