Kama upadri sio taaluma basi Dr. Slaa hana Pdh ya ukweli, nijuavyo mimi ana PHD ya huohuo upadri. kama nimekosea nielimishe
=======Kama upadri sio taaluma basi Dr. Slaa hana Phd ya kweli, nijuavyo mimi ana PHD ya huohuo upadri. kama nimekosea nielimishe
Rev kwani kuna kitu gani kibaya hapo
=======
PhD si ya upadre bali aliipata akiwa padre. Upadre ni upadre hauna masters wala PhD. PhD ya Dr. Slaa ni sawa na nyingine zote walizo nazo watu wengine katika fani mbali mabli. Ya kwake nadhani ni ya Rural Develeopment au ya sheria.
Kama upadri sio taaluma basi Dr. Slaa hana Phd ya kweli, nijuavyo mimi ana PHD ya huohuo upadri. kama nimekosea nielimishe
Je kusema hivyo anatoa maana gani kwa dr.slaa ambaye ni padri kitaaluma aliyejiunga na siasa?......?
Sometimes huwa najaribu kukataa wazo kwamba kuwa mfuasi wa CCM inabidi uwe na akili za punda, lakini sometimes huwa nashindwa..hivi Dr. Slaa bado ni padre?Je kusema hivyo anatoa maana gani kwa dr.slaa ambaye ni padri kitaaluma aliyejiunga na siasa?......?
Sometimes huwa najaribu kukataa wazo kwamba kuwa mfuasi wa CCM inabidi uwe na akili za punda, lakini sometimes huwa nashindwa[/U]..hivi Dr. Slaa bado ni padre?
Nashindwa kushangaa aisee.. nisaidie kushangaa..utaumiza kichwa mkuu, watu wanaleta hoja na ku urge vitu vya kijinga kabisa, no wonder JK anapata watu kwenye kampeni zake
Vyuo vyetu bado havifundishi kozi nyingi.University of Oxford imeanzishwa 1096-hiyo ni zaidi ya karne kumi -wanafundisha Theology,university of St. Andrews wanafundisha divinity pia.Vyuo vyetu kwasababu bado ni vichanga labda mbeleni vitaanza kufundisha.Mbona hiyo theology haifundishwi kwenye vyuo vyetu vya secular kama mtu yoyote anaweza kuisoma? Au mitaala yetu inamatatizo? lakini divinity inafundishwa kwenye secular schools.
Hii link ina watu ambao wamesoma theology oxford na wanafanya kazi nyingine tofauti: http://www.theology.ox.ac.uk/assets/files/What on earth can you do with a degree in theology.pdfMbona hiyo theology haifundishwi kwenye vyuo vyetu vya secular kama mtu yoyote anaweza kuisoma? Au mitaala yetu inamatatizo? lakini divinity inafundishwa kwenye secular schools.
we mkuu mbona unapenda matusi sana au ndo wale wenzetu wa ndoa za jinsia moja zinazofungwa kwenye nyumba za ibada? Tuambie bwana kama yamekukuta mwenzetu ili tusikutafsiri kivingine.Endelea kuwa boga! Elimu hata mjinga kama wewe unaweza ipata kama vile BSc, MSc ama PhD. Upandre ni daraja na wito. Ndo maana Maalimu ama Immam hata asome vipi hawezi kuwa padre. Umeeelewa wewe boga?
Ngekewa are you a blonde with big ass?
...................... padri kitaaluma......?
.....Na hivyo basi Pengo ni mpenzi wa chama gani?.......