Hata kama ni biashara, utafanyaje kwa akili kama zenu CCM.Sasa wakati umefika kufanya hili liwe kweli.... Trade not Aid....
Acha Mara moja kujimwambafai ,uchape kazi na kujenga Nchi kwa pesa zako mwenyewe, Yapo mataifa yamesimama ila bado yanahitaji kushikwa mkono na mataifa mengine,Sasa wewe una nini mpaka uwe na kiburi? ndugu zangu wabondei ndo hapo wakwambiapo huna lolote, Yani mjenge nchi kwa pesa zenu wakati COVID 19 tu mnakimbilia misaada badala ya kutoa misaada. Acheni wakuu kupenda jitoa ufahamu.Mzee Mwanakijiji
Huu ni wakati wa kuchapa kazi tujenge nchi kwa pesa zetu za ndani.
Mabeberu hawatutakii mema. Mitano tena.
Najua haupo Tanzania. Ngoja nikushauri siku Njoo Tanzania, ukishuka airport nenda hadi quality centre, then ukitoka nenda mkuki tower , ukimaliza Njoo posta mtaa wa Samora tu tembelea mwanzo hadi mwisho fanya survey ya maduka na biashara ikoje.Umejuaje biashara za ndani "zinazidi kufa"?
Teh teh tehNasikia wazungu mitumba yetu wameshaanza kuvaa mkuu.


Haya bhana....haaa haaa haaa 

.Usimpake matope mwenzako.kwa wasiomjua M.M.Mwanakijiji alikuwaga mtetezi wa haki za binaadam na demokrasia. Kumbe ilikuwa zuga tu ilikuwa ni vita dhidi ya Jakaya. Wakipigana na Slaa na kanisa katoliki. Sasa haki za binadamu zinazingatiwa mpaka zinamwagikia ndo maana anazungumzia misaada
onesha hayo matopeUsimpake matope mwenzako.
Umejuaje biashara za ndani "zinazidi kufa"?
Napendekeza jina la wizara. Itaitwa wizara ya mabeberu.
Unaelewa dhana ya misaada ya 'kutoka na kuingia'?Nyie mlisema ni matajiri na hamuhitaji misaada ya beberuz sasa imekuaje tena?
Kuna wengine wamefungua maduka...Mie nmeshafunga maduka yangu mawili kariakoo