mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,316
si ni kazi mbali mbali wakati wa amaniBwege kweli inamaana unafikiri jeshi kazi yake ni kutunza maua?? Ngoja waione post yako kiazi we
si ni kazi mbali mbali wakati wa amaniBwege kweli inamaana unafikiri jeshi kazi yake ni kutunza maua?? Ngoja waione post yako kiazi we
Manispaa wafanye kazi ganisi ni kazi mbali mbali wakati wa amani
Mbona usafi walifanya???? Huu sio usafi???Manispaa wafanye kazi gani
Huo usafi wanafanya mara ngapi kwa mwezi?Mbona usafi walifanya???? Huu sio usafi???
Hata TBS wameanzisha yao kando ya barabara ya mwendo kasi imestawi vizuri mno, japo kuna wasiwasi wa kuingiliwa na wamachinga na wapiga debe wa ubungo. Anatunza mtu mmoja tu lakini panavutia. Bustani ni maji na kuzuia watu kupita. Heko wanajeshi wetu, TCRA na TBS. Natamani ifike mahali hizi shule zenye viwanja vya Vumbi wafundishwe kupanda nyasi na kuzitunza. Inasikitisha maji yapo, wanafunzi wapo na waalimu lakini viwanja vya michezo vya shule zetu nyingi ni VUMBI.Exactly...bustani nzuri sana ile.Kikubwa ni kuwa wanajeshi wanajituma na wanaijali bustani yao.Asikudanganye mtu bustani ni matunzo.Nyingine ni ile ya TCRA nayo imetunzwa vizuri.
Hata TBS wameanzisha yao kando ya barabara ya mwendo kasi imestawi vizuri mno, japo kuna wasiwasi wa kuingiliwa na wamachinga na wapiga debe wa ubungo. Anatunza mtu mmoja tu lakini panavutia. Bustani ni maji na kuzuia watu kupita. Heko wanajeshi wetu, TCRA na TBS. Natamani ifike mahali hizi shule zenye viwanja vya Vumbi wafundishwe kupanda nyasi na kuzitunza. Inasikitisha maji yapo, wanafunzi wapo na waalimu lakini viwanja vya michezo vya shule zetu nyingi ni VUMBI.
Kwenye utendaji wako strictly.Ili tupate maendeleo haraka naona ni vema tukawatumia hawa wajeda . Hawanaga longolongo.