Hali ya barabara kwa wakazi wa Mwanagati inasikitisha

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,566
Habari Wakuu,

Yaani inapotokea mvua katika jiji la Dar es Salaam ni kama adhabu kwa wakazi wa Mwanagati kuanzia kipande cha Kwa Mparange mpaka kituo Cha mwisho cha daladala Cha Mwanagati. Barabarani mbovu na haipitiki kwa urahisi.

Daladala zinalazimika kupandisha nauli, na Hata baadhi ya wamiliki magari wanalazimika kupaki magari yao, kuyaepusha kuharibika kwa hali ya barabara hii.

Safari ya nusu saa unalazimika kutumia saa zima kwa sababu magari yanatembea kwa kunyata.

Mbunge na viongozi wote tunaomba muangalie tatizo hili! Ukizingatia sasa Mbunge wa huku ni Waziri wa Ardhi tumatumaini barabara hii itafanyiwa kazi maana tuliambiwa bajeti tayari imetengwa. Mbunge Jerry Silaa tunaomba isiwe story kama za Vijiweni.

Hizi hapa chini ni baadhi ya picha ya hali ilivyo.

1701458043011.png

1701458074735.png

1701458135530.png

1701458183891.png

1701458221401.png

1701458263959.png

Pia soma: Baada ya kelele za Wananchi, barabara ya Mwanagati yaanza kutengenezwa
 
Habari Wakuu,

Yaani inapotokea mvua katika jijila Dar es Salaam ni kama adhabu kwa wakazi wa Mwanagati. Barabarani mbovu na haipitiki kwa urahisi.

Daladala zinalazimika kupandishanauli, na wamiliki wa baadhi ya magari wanalazimika kupaki magari yao.

Safari ya nusu saa unalazimika kutumia saa zima kwa sababu magari yanatembea kwa kunyata.

Mbunge na viongozi wote tunaomba muangalie tatizo hili! Ukizingatia sasa Mbunge wa huku ni Waziri wa Ardhi tumatumaini barabara hii itafanyiwa kazi maana tuliambiwa bajeti tayari imetengwa. Mbunge Jerry Silaa tunaomba isiwe story kama za Vijiweni.

Hizi hapa chini ni baadhi ya picha ya hali ilivyo.

Mko kijijini dar es salaam mpaka mseme hapo bado sana
 
Barabara ya mbande msongola ndo haifai kabisa yaani mpaka unajiuliza kama hii nchi Ina wawakilishi
 
Habari Wakuu,

Yaani inapotokea mvua katika jijila Dar es Salaam ni kama adhabu kwa wakazi wa Mwanagati kuanzia kipande cha Kwa Mparange mpaka kituo Cha mwisho cha daladala Cha Mwanagati. Barabarani mbovu na haipitiki kwa urahisi.

Daladala zinalazimika kupandisha nauli, na Hata baadhi ya wamiliki magari wanalazimika kupaki magari yao, kuyaepusha kuharibika kwa hali ya barabara hii.

Safari ya nusu saa unalazimika kutumia saa zima kwa sababu magari yanatembea kwa kunyata.

Mbunge na viongozi wote tunaomba muangalie tatizo hili! Ukizingatia sasa Mbunge wa huku ni Waziri wa Ardhi tumatumaini barabara hii itafanyiwa kazi maana tuliambiwa bajeti tayari imetengwa. Mbunge Jerry Silaa tunaomba isiwe story kama za Vijiweni.

Hizi hapa chini ni baadhi ya picha ya hali ilivyo.

Ila Mwanagati wamejenga wenye hela inakuwaje mnapiga kelele hivyo?
 
bado mpaka tuseme hatujasema bado. Hujapita ya kivule kwenda Msongola ni aibu. Huyu mbunge wallahi hatorudi uchaguzi ujao.
 
Back
Top Bottom