Pendekezo traffic

Pendekezo traffic

Lakini mbona huwa magari mara nyingi hayaruhusiwi kutokana na foleni. Yanaruhusiwa kutokana na priority, sijui unanielewa. Mfano. Junction ya morrocco barabara ya tegeta posta inapewa priority na mda mwingi hata kama haina foleni kuliko ile ya morrocco kawe. Hata kama ya morrocco kawe ina foleni, huwa haipewi sana kipaumbele. Hii inathibitika kabisa sio kubahatisha. Thats why tunahitaji kuset mda sio kukadiria
Hiyo bado solution.

Solution isiangiqe priority ya watu bali solution iangaliwe priority ya foleni iliyokubwa

Kama hao wasimamizi wanafanya hivyo nadhani hiyo ni shida

Ila wazo la kuset time sio baya mkuu ni wazo zuri tu
 
Back
Top Bottom