Pendekezo: RAIS wa TUCTA na katibu wake wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,710
36,166
Habari!

Nitatoa sababu mbili tu muhimu kwanini RAIS wa TUCTA na katibu wake wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.

1. Wanaonyesha dharau kwa RAIS SAMIA.

Miaka 6 ya utawala wa Magufuli hapakuwa na kupanda madaraja kwa watumishi wala ongezeko la MISHAHARA.

Samia ndani ya miezi 3 tu alipandisha madaraja watumishi wengi sana kuanzia kwenye majeshi mpaka kwenye taasisi zingine.

Kupandisha madaraja au vyeo kumetumia mabilioni. Mbona kipindi cha Magufuli hawakuwezi kutoa kauli yoyote?

Ni heri Rais SAMIA aliyewakumbuka wale wa kima cha chini ingawa ni kwa kidogo.

2. Bilioni takribani 700 kila mwezi zinatumika kuwalipa watumishi. Endapo serikali ikiongeza MISHAHARA kwa asilimia 15-23.3 kwa watumishi wote pamoja na wale wanaolipwa zaidi ya milioni 1 hapo ni dhahiri kuwa makusanyo ya nchi hii 70%-80 yatatumika kuwalipa watumishi tu. Hii ni haki?

TUCTA wangeishauri serikali ipunguze watumishi ili watakaobaki waongezewe maslahi. Hapo serikali haitaelemewa.

Juzi tu posho za viongozi au watumishi waandamizi zimeongezwa kwa zaidi ya 100%, hivi kuna haja tena hawa viongozi na watumishi waandamizi kuongezewa mshahara?

Nakazia: RAIS wa TUCTA na katibu wake wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.
 
Habari!

Nitatoa sababu mbili tu muhimu kwanini RAIS wa TUCTA na katibu wake wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.

1. Wanaonyesha dharau kwa RAIS SAMIA.

Miaka 6 ya utawala wa Magufuli hapakuwa na kupanda madaraja kwa watumishi wala ongezeko la MISHAHARA.

Samia ndani ya miezi 3 tu alipandisha madaraja watumishi wengi sana kuanzia kwenye majeshi mpaka kwenye taasisi zingine.

Kupandisha madaraja au vyeo kumetumia mabilioni. Mbona kipindi cha Magufuli hawakuwezi kutoa kauli yoyote?

Ni heri Rais SAMIA aliyewakumbuka wale wa kima cha chini ingawa ni kwa kidogo.

2. Bilioni takribani 700 kila mwezi zinatumika kuwalipa watumishi. Endapo serikali ikiongeza MISHAHARA kwa asilimia 15-23.3 kwa watumishi wote pamoja na wale wanaolipwa zaidi ya milioni 1 hapo ni dhahiri kuwa makusanyo ya nchi hii 70%-80 yatatumika kuwalipa watumishi tu. Hii ni haki?

TUCTA wangeishauri serikali ipunguze watumishi ili watakaobaki waongezewe maslahi. Hapo serikali haitaelemewa.

Juzi tu posho za viongozi au watumishi waandamizi zimeongezwa kwa zaidi ya 100%, hivi kuna haja tena hawa viongozi na watumishi waandamizi kuongezewa mshahara?

Nakazia: RAIS wa TUCTA na katibu wake wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.
Ina maana ww hujui kwamba hizo posho mpya viko postponed
 
Habari!

Nitatoa sababu mbili tu muhimu kwanini RAIS wa TUCTA na katibu wake wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.

1. Wanaonyesha dharau kwa RAIS SAMIA.

Miaka 6 ya utawala wa Magufuli hapakuwa na kupanda madaraja kwa watumishi wala ongezeko la MISHAHARA.

Samia ndani ya miezi 3 tu alipandisha madaraja watumishi wengi sana kuanzia kwenye majeshi mpaka kwenye taasisi zingine.

Kupandisha madaraja au vyeo kumetumia mabilioni. Mbona kipindi cha Magufuli hawakuwezi kutoa kauli yoyote?

Ni heri Rais SAMIA aliyewakumbuka wale wa kima cha chini ingawa ni kwa kidogo.

2. Bilioni takribani 700 kila mwezi zinatumika kuwalipa watumishi. Endapo serikali ikiongeza MISHAHARA kwa asilimia 15-23.3 kwa watumishi wote pamoja na wale wanaolipwa zaidi ya milioni 1 hapo ni dhahiri kuwa makusanyo ya nchi hii 70%-80 yatatumika kuwalipa watumishi tu. Hii ni haki?

TUCTA wangeishauri serikali ipunguze watumishi ili watakaobaki waongezewe maslahi. Hapo serikali haitaelemewa.

Juzi tu posho za viongozi au watumishi waandamizi zimeongezwa kwa zaidi ya 100%, hivi kuna haja tena hawa viongozi na watumishi waandamizi kuongezewa mshahara?

Nakazia: RAIS wa TUCTA na katibu wake wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.
baada ya kusoma ulicho andika nimeona kumbe afadhari hata mavi yanafaa kwa mbolea kuliko wewe mganga njaaa unae dhani njia ya kufanikiwa ni kumchukia mwenye nacho
 
Habari!

Nitatoa sababu mbili tu muhimu kwanini RAIS wa TUCTA na katibu wake wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.

1. Wanaonyesha dharau kwa RAIS SAMIA.

Miaka 6 ya utawala wa Magufuli hapakuwa na kupanda madaraja kwa watumishi wala ongezeko la MISHAHARA.

Samia ndani ya miezi 3 tu alipandisha madaraja watumishi wengi sana kuanzia kwenye majeshi mpaka kwenye taasisi zingine.

Kupandisha madaraja au vyeo kumetumia mabilioni. Mbona kipindi cha Magufuli hawakuwezi kutoa kauli yoyote?

Ni heri Rais SAMIA aliyewakumbuka wale wa kima cha chini ingawa ni kwa kidogo.

2. Bilioni takribani 700 kila mwezi zinatumika kuwalipa watumishi. Endapo serikali ikiongeza MISHAHARA kwa asilimia 15-23.3 kwa watumishi wote pamoja na wale wanaolipwa zaidi ya milioni 1 hapo ni dhahiri kuwa makusanyo ya nchi hii 70%-80 yatatumika kuwalipa watumishi tu. Hii ni haki?

TUCTA wangeishauri serikali ipunguze watumishi ili watakaobaki waongezewe maslahi. Hapo serikali haitaelemewa.

Juzi tu posho za viongozi au watumishi waandamizi zimeongezwa kwa zaidi ya 100%, hivi kuna haja tena hawa viongozi na watumishi waandamizi kuongezewa mshahara?

Nakazia: RAIS wa TUCTA na katibu wake wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.
7B royal tua!?? Wezi nyinyi. Mnataka mle peke yenu. Sogea pembeni katapike.
 
Habari!

Nitatoa sababu mbili tu muhimu kwanini RAIS wa TUCTA na katibu wake wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.

1. Wanaonyesha dharau kwa RAIS SAMIA.

Miaka 6 ya utawala wa Magufuli hapakuwa na kupanda madaraja kwa watumishi wala ongezeko la MISHAHARA.

Samia ndani ya miezi 3 tu alipandisha madaraja watumishi wengi sana kuanzia kwenye majeshi mpaka kwenye taasisi zingine.

Kupandisha madaraja au vyeo kumetumia mabilioni. Mbona kipindi cha Magufuli hawakuwezi kutoa kauli yoyote?

Ni heri Rais SAMIA aliyewakumbuka wale wa kima cha chini ingawa ni kwa kidogo.

2. Bilioni takribani 700 kila mwezi zinatumika kuwalipa watumishi. Endapo serikali ikiongeza MISHAHARA kwa asilimia 15-23.3 kwa watumishi wote pamoja na wale wanaolipwa zaidi ya milioni 1 hapo ni dhahiri kuwa makusanyo ya nchi hii 70%-80 yatatumika kuwalipa watumishi tu. Hii ni haki?

TUCTA wangeishauri serikali ipunguze watumishi ili watakaobaki waongezewe maslahi. Hapo serikali haitaelemewa.

Juzi tu posho za viongozi au watumishi waandamizi zimeongezwa kwa zaidi ya 100%, hivi kuna haja tena hawa viongozi na watumishi waandamizi kuongezewa mshahara?

Nakazia: RAIS wa TUCTA na katibu wake wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.
Mawaziri wanao hujumu uchumi kwa kuweka tozo na kubadili Kodi kiholela wako kwenye ma V8 kila mara hawafanywi lolote.

Hawa walioahidiwa 23% na kupigishwa makofi na ngonjera zote zile kisha wakaambulia 2.3% ndio kesi ya uhujumu uchumi?
Ndugu yaku hata kama hatupendani sio kwa kiasi hiki? Unafaa kunyimwa huduma yoyote toka kwa watumishi wa umma wewe. Bahati yako ID fake.
 
Ndiyo ni kweli Magufuli hakupandisha mishahara ya watumishi kwa kipindi chote alichokuwa Rais
JPM alitumia science sana. kuna kipindi Watumishi walivakiwa na zaidi ya 50,000 kwa mkupua wakiwemo na wale wa sector binafsi.

Hizi Tozo zimemaliza mishahara yote ya wafanya kazi. Yaani unaupata benki una Tozwa . Kwenye Simu Unatozwa. Napendekeza tuchukue mikononi.
 
Mawaziri wanao hujumu uchumi kwa kuweka tozo na kubadili Kodi kiholela wako kwenye ma V8 kila mara hawafanywi lolote.

Hawa walioahidiwa 23% na kupigishwa makofi na ngonjera zote zile kisha wakaambulia 2.3% ndio kesi ya uhujumu uchumi?
Ndugu yaku hata kama hatupendani sio kwa kiasi hiki? Unafaa kunyimwa huduma yoyote toka kwa watumishi wa umma wewe. Bahati yako ID fake.
Ahahahaha
Kwahiyo mnatamani kunimeza?
 
Habari!

Nitatoa sababu mbili tu muhimu kwanini RAIS wa TUCTA na katibu wake wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.

1. Wanaonyesha dharau kwa RAIS SAMIA.

Miaka 6 ya utawala wa Magufuli hapakuwa na kupanda madaraja kwa watumishi wala ongezeko la MISHAHARA.

Samia ndani ya miezi 3 tu alipandisha madaraja watumishi wengi sana kuanzia kwenye majeshi mpaka kwenye taasisi zingine.

Kupandisha madaraja au vyeo kumetumia mabilioni. Mbona kipindi cha Magufuli hawakuwezi kutoa kauli yoyote?

Ni heri Rais SAMIA aliyewakumbuka wale wa kima cha chini ingawa ni kwa kidogo.

2. Bilioni takribani 700 kila mwezi zinatumika kuwalipa watumishi. Endapo serikali ikiongeza MISHAHARA kwa asilimia 15-23.3 kwa watumishi wote pamoja na wale wanaolipwa zaidi ya milioni 1 hapo ni dhahiri kuwa makusanyo ya nchi hii 70%-80 yatatumika kuwalipa watumishi tu. Hii ni haki?

TUCTA wangeishauri serikali ipunguze watumishi ili watakaobaki waongezewe maslahi. Hapo serikali haitaelemewa.

Juzi tu posho za viongozi au watumishi waandamizi zimeongezwa kwa zaidi ya 100%, hivi kuna haja tena hawa viongozi na watumishi waandamizi kuongezewa mshahara?

Nakazia: RAIS wa TUCTA na katibu wake wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.
Kingine kilichonishinda kwa mwanadamu ni kumridhisha huyu kiumbe.
 
Back
Top Bottom