Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,021
- 132,763
Naunga mkono hoja,Prof Palamagamba Phillip Aidan Kabuni
Jina kamili ni Professor Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, hakuna jina la Phillip, wala Kabuni.
P
Naunga mkono hoja,Prof Palamagamba Phillip Aidan Kabuni
MgogoNaunga mkono hoja,
Jina kamili ni Professor Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, hakuna jina la Phillip, wala Kabuni.
P
He mkuu ebu nipe shule kidogo hivi EU ikiamua kubamiza nchi yoyote nje ya kuweka vikwazo inawezekana,?Apewe ukuu wa majeshi kabisa, ili atume ndege za kivita kuwapiga mikwara EU.
EU watume "DRONES 3,000" na "INTER-CONTINENTAL BALLISTIC MISSILES 10,000 KILA MKOA WA TANZANIA" waje kutumaliza kabisa.
Kuitwa mpinzani sio kupinga kila kitu alichokisema mtoa hoja ndicho alichomaanisha Rais wetu, ndio maana amekuwa wa kwanza kuteuliwa katika Baraza la mawaziri akifuatiwa na Dr. Isdor.Kwa nini mashabiki ya CCM huwa yanaleta hoja kama hayana ubongo?
Hahahaaaa....... Umeshafura!Kwa nini mashabiki ya CCM huwa yanaleta hoja kama hayana ubongo?
Kwahiyo hilo jina la John ndio wanalofanana na Dr Mpango.Naunga mkono hoja,
Jina kamili ni Professor Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, hakuna jina la Phillip, wala Kabuni.
P
Hakuna jina lolote la Kabudi linalofanana na Mpango, wanachofanana ni title tuu ya Prof.Kwahiyo hilo jina la John ndio wanalofanana na Dr Mpango.
Nimekuelewa!
Naibu waziri mkuu!
hapo tu umefuraaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa nini mashabiki ya CCM huwa yanaleta hoja kama hayana ubongo?
Mheshimiwa Munguhapo tu umefuraaa😂😂😂😂😂😂
Sasa kabudi aidani anaenda kuwa mashauri wa mgambo taifa😂😂😂😂
Abaki hapohapo, mabomu ya kidiplomasia anayopiga yanawatosha EU 😁Apewe ukuu wa majeshi kabisa, ili atume ndege za kivita kuwapiga mikwara EU.
EU watume "DRONES 3,000" na "INTER-CONTINENTAL BALLISTIC MISSILES 10,000 KILA MKOA WA TANZANIA" waje kutumaliza kabisa.
Alitakiwa kuwa "MUIMBA TAARABU", akamrithi Komba, maana si kwa hio mipasho.Abaki hapohapo, madogo ya kidiplomasia anayopiga yanawatosha EU [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Daah Kabudi banha, ivi siku ile alifanya makusudi au bahati mbaya... mh mungu aaa mh Rais [emoji16][emoji16][emoji2][emoji23][emoji2][emoji23]Mheshimiwa Mungu
Alitakiwa kuwa "MUIMBA TAARABU", akamrithi Komba, maana si kwa hio mipasho.
Kumbe!Hakuna jina lolote la Kabudi linalofanana na Mpango, wanachofanana ni title tuu ya Prof.
P
daah toka dunia iumbwe mwaka huu nimeona mipasho iliyokwenda school ya prof kabudi😂😂Mipasho hujibiwa kwa mipasho, walianza wao wacha prof amalizie