johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Nakumbuka enzi za awamu ya pili ya mzee Mwinyi, baada ya Waziri wa mambo ya ndani mh Augustino Lyatonga Mrema kuonyesha utumishi uliotukuka " alitunukiwa" cheo kipya sawia na alichokuwa nacho akawa Naibu Waziri mkuu na Waziri wa mambo ya ndani ya nchi.
Vivyo hivyo kwa utumishi uliotuka wa Prof. Palamagamba Phillip Aidan Kabudi napendekeza pamoja na cheo chake cha sasa awe pia Naibu Waziri mkuu.
Nina hakika ndani ya Bunge la sasa mchakato utakuwa rahisi.
Nawatakia Dominica yenye baraka
Maendeleo hayana vyama
Vivyo hivyo kwa utumishi uliotuka wa Prof. Palamagamba Phillip Aidan Kabudi napendekeza pamoja na cheo chake cha sasa awe pia Naibu Waziri mkuu.
Nina hakika ndani ya Bunge la sasa mchakato utakuwa rahisi.
Nawatakia Dominica yenye baraka
Maendeleo hayana vyama