Pendekezo: MSD wapate mshindani

Mkuu,

Pamoja na hayo mapungufu ya kucheleweshwa kwa fedha lakini tatizo ni MSD. Wafanyabiashara wengi hawalipwi kwa wakati lakini wameendelea ku-survive.

Kinachonishangaza ni kwamba leo hii utasikia MSD haina hela lakini leo hiihii utasikia mkurugenzi wa MSD kanda ya mashariki akabidhi kitita cha milioni kadhaa kuisaidia timu ya taifa ya wanawake. Are we serious?

Bado naendelea na ombi langu la kutaka MSD ipatiwe mshindani, ikiwa mi sehemu ya kuboresha huduma mahospitalini.
Narudia,

Kwa watoa huduma za afya tulio wengi kilio chetu ni kama chako mkuu. Kikubwa tukiamini MSD ni ya "wakubwa", ndo maana wana kiburi. Lakini kabla ya kuruhusu washindani serikali iandae mazingira mazuri. Huwezi kuendesha zahanati hata kwa 3m kwa robo mwaka achia mbali hiyo 1.2m ya Mbunge wangu Mponda na Dr Nkya. Tutaendelea kutukanwa na wananchi tunauza dawa zao hadi lini ?! Kumbe wakutukanwa ni Mponda, Mkullo na nani sijui. Zamani watu walikuwa wanapiga dili hizo, lakini siku hizi ukipokea mzigo wa miezi mi3 toka MSD unashika tama tu. Wiki 2 tu umeisha, unatamani ufunge kituo kwa aibu! Frustrations zinaanzia hapo.

....MSD kusaidia timu ni issue ndogo tu Mkuu. MSD haijafikia hata hatua za kushindwa kulipa mishahara wafanyakazi. MSD haishindwi kutoa 10m kusaidia timu lakini 200m ni upuuzi tu kuendesha shirika kama MSD.

Nimesoma post jamaa wanahitaji kulipwa 60 billions ili watafute uongo mwingine na sio huu wa madeni. Walipwe basi ili waje na single nyingine masikioni mwetu (kama).
 
Serikali kuu ina tatizo katika kupeleka hela kwa wakati katika maeneo yote. Hata halmashauri hazipati ruzuku kwa wakati lakini kwa kutumia ubunifu zinaweza kutekeleza miradi mbalimbali. Sasa kwanini MSD ilalamikie jambo hilo kama ndio tatizo la wao kutoa huduma mbovu?

Kwa maoni yangu taasisi za serikali zinatakiwa kupewa msaada wa kuanzia na baada ya hapo lazima zibuni mikakati ya sustainability kitu ambacho MSD wanalegalega kwa kuwa hawana mshindani.
tell what you know about health supply chain and i will make you better
 
Narudia,

Kwa watoa huduma za afya tulio wengi kilio chetu ni kama chako mkuu. Kikubwa tukiamini MSD ni ya "wakubwa", ndo maana wana kiburi. Lakini kabla ya kuruhusu washindani serikali iandae mazingira mazuri. Huwezi kuendesha zahanati hata kwa 3m kwa robo mwaka achia mbali hiyo 1.2m ya Mbunge wangu Mponda na Dr Nkya. Tutaendelea kutukanwa na wananchi tunauza dawa zao hadi lini ?! Kumbe wakutukanwa ni Mponda, Mkullo na nani sijui. Zamani watu walikuwa wanapiga dili hizo, lakini siku hizi ukipokea mzigo wa miezi mi3 toka MSD unashika tama tu. Wiki 2 tu umeisha, unatamani ufunge kituo kwa aibu! Frustrations zinaanzia hapo.

....MSD kusaidia timu ni issue ndogo tu Mkuu. MSD haijafikia hata hatua za kushindwa kulipa mishahara wafanyakazi. MSD haishindwi kutoa 10m kusaidia timu lakini 200m ni upuuzi tu kuendesha shirika kama MSD.

Nimesoma post jamaa wanahitaji kulipwa 60 billions ili watafute uongo mwingine na sio huu wa madeni. Walipwe basi ili waje na single nyingine masikioni mwetu (kama).
Mkuu,

Ni vizuri tukawasaidia mawazo hawa wanasiasa kwa sababu tukigoma kufanya kazi tunaambiwa hatuna wito. Wizi wa dawa upo hata kwenye zile hospitali binafsi lakini husikii zikiishiwa dawa au tunataka kusema hulka ya wizi ipo serikalini pekee.
 
tell what you know about health supply chain and i will make you better

do you think the problem belongs to the health supply chain?ok! Sijui ! Naomba unielezee ili tuchanganue na kuona kama tatizo ni hilo nitawithdraw pendekezo langu.
 
mkuu umetumwa na wahindi nn?unakumbuka govt ilipoua TES matokeo yake kila shule ikawa na text books tofauti na nyingine
 
mkuu umetumwa na wahindi nn?unakumbuka govt ilipoua TES matokeo yake kila shule ikawa na text books tofauti na nyingine
Mkuu,

Sijatumwa na wala sitaki serikali iifute MSD, MSD inahitaji changamoto ili ifanye kazi vizuri. Ningefurahi ungetoa sababu za kufa TES ili wakati tunaruhusu mshindani wa MSD tuweke mikakati ya kuisupport.
 
MSD wanalipwa na govt,kama govt hailipi utapataje huduma?ww wajua hakuna mswahili anayesupply dawa ni wahindi tuu!
 
Wahindi wamekua wakiwahonga wabunge ili waweze ku supply dawa hewa,fake ktk halmashauri zetu maana rushwa itaongea!
 
Wahindi wamekua wakiwahonga wabunge ili waweze ku supply dawa hewa,fake ktk halmashauri zetu maana rushwa itaongea!
Mkuu kwa uzoefu wangu sijaona wabunge wakihusika kihivyo kwenye ununuzi wa dawa.

Sijui hii hongo inasaidiaje. Sehemu ambayo hongo inaweza kutokea ni pale MSD wanaposema 'out' hii hutoa fursa kwa watendaji kununua dawa kifisadi kwa wahindi.
 
duh.... hebu fanya simple research ujue MSD nao wanatoa wapi dawa na mfumo mzima wa usambazaji wa dawa, na vifaa tiba
mkuu kama tatizo ni upatikanaji wa dawa
basi hapo ndipo tunapohitaji washindani wengi zaidi ili mmoja anapokosa mwungine awe nazo.
 
Mkuu,

Ni vizuri tukawasaidia mawazo hawa wanasiasa kwa sababu tukigoma kufanya kazi tunaambiwa hatuna wito. Wizi wa dawa upo hata kwenye zile hospitali binafsi lakini husikii zikiishiwa dawa au tunataka kusema hulka ya wizi ipo serikalini pekee.
Ipo siku WATAELEWA hata kama kwa sasa hawataki kuelewa!
 
Mkuu kwa uzoefu wangu sijaona wabunge wakihusika kihivyo kwenye ununuzi wa dawa.


Sijui hii hongo inasaidiaje. Sehemu ambayo hongo inaweza kutokea ni pale MSD wanaposema 'out' hii hutoa fursa kwa watendaji kununua dawa kifisadi kwa wahindi.
Is meningitis congenital to you? Is it true That you don't know that MSD WAS ESTABLISHED BY THE ACT OF the PARLIEMENT? It is the members of our parliament who in case they also have "meningitis" will put your myopic advice into action. This is what the big players in PHARMACEUTICAL business know and there is where the big game is played.

BONGOLALA has just put the "name of the game" for you go figure.....
 
Is meningitis congenital to you? Is it true That you don't know that MSD WAS ESTABLISHED BY THE ACT OF the PARLIEMENT? It is the members of our parliament who in case they also have "meningitis" will put your myopic advice into action. This is what the big players in PHARMACEUTICAL business know and there is where the big game is played.

BONGOLALA has just put the "name of the game" for you go figure.....
The issue is not about estblishment of MSD!!
Show me how MPs are involved in procurement of drugs/med supplies?

If you fear for corruption or 'fake' drugs then you are too myopic to figure how corrupt msd has been.......think about SD Bioline saga,go and review last year reports from kamati ya bunge ya huduma za jamii.

I repeat, ulegelege wa msd unatoa fursa ya ununuzi wa dawa kifisadi.

"you ll never be strong unless you compete''
 
mkuu kama tatizo ni upatikanaji wa dawa
basi hapo ndipo tunapohitaji washindani wengi zaidi ili mmoja anapokosa mwungine awe nazo.

sawa sio nguo mkuu

hebu ggogle to antything relating health commodities supply chain management for developing countries, ukikwama kabisa ni-PM nikupe shule tena kwa simu
 
MSD ni wahuni tu, kazi yao ni kusambaza dawa zilizobakiza mwezi mmoja kabla ya expiry date.

Ni mafisadi kwa kutumia ule mpango wa special procurement, yaani wananunua dawa kwenye famasi za wahindi halafu wanauza kwa hispitali za serikali.

Sasa hivi wamesambaza list ya madawa feki ikiwamo cipro na pen v. Sasa utajiuliza kwa nini hawakujua kabla ya kuingiza sokoni.
Eti wametoa order kuwa vitendanishi vya kupimia UKIMWI virudushwe? How?? Ina maana zoezi hili litagharamiwa na nani na kwa bajeti ipi?

Wapuuzi sana hawa...kila kukicha hawana dawa mwisho wa mwaka utakuta midawa imeharibika huko kwenye bohari zao.
 
Fault finding is the easiest job on planet. People let's change our attitude to "we are the people we have been waiting for" and be part of the solution. Stick to Etiology before treatment..though I, Meningitis and other seem to be viewing the same object it seems to me that the refractive media is interfering. Please people mind your angle of incidence.
 
Back
Top Bottom