Pendekezo: Mashindano Makubwa ya kuhifadhi Kitabu Kitakatifu cha Biblia 2017/2018

Kitabu kilichochakachuliwa MUNGU hawezi kutia nguvu kikaweza kuhifadhiwa kichwani.


Achilia mbali mashindano ya kuhifadhi HAITAWEZEKANA kabisa ajitahidi yoyote atakayehifadhi bila hata kushindana na wengine.
Jiongeze mkuu , Wakomunisti wamekariri tena kwa msisitizo mkuu Ideology zisizo na Imani ya Mungu na bado wame advance in so many walks of life.
 
Mbona watu wanahifadhi masomo ya darasani mkuu. Kwani nayo ni maandiko ya MUNGU kiongozi...?

Maandiko ya darasani hayana lengo la upotoshaji wa neno la MUNGU.
Na ukitaka kuamini hajatokea mpaka leo mtu yeyote aliyehifadhi biblia version yoyote ile.
 
Maandiko ya darasani hayana lengo la upotoshaji wa neno la MUNGU.
Na ukitaka kuamini hajatokea mpaka leo mtu yeyote aliyehifadhi biblia version yoyote ile.
Pole, get out and talk out of monotheistic view, Mungu sio lazima kwa watu wote wa duniani awe sambamba na mkondo wa Imani ya dini yako.
 
Ukristo hauna kukariri ni kusoma,kuelewa na kutafakari kile ulichokisoma na kukiishi kwa manufaa ya nafsi yako na manufaa ya wengine.itanifaa nini kuikariri Bible kichwani kisha nakuwa mzinzi,msengenyaji na mwenye dharau kwa wenzangu?usiamini ktk kukariri siku utakapofunga macho hutoulizwa kwanini hukukariri Kitabu utaulizwa kwanini hukuyasoma na kuyaishi yaliyoandikwa mule.
 
Topics which has religion related matters which are tabled for discussion will never have a good ending. Kwa sababu the truch of your loyal religious teachings is the fire of hell to other people.

Mungu anawependa wote regard your religious didferences
 
Labda ungesema wakristo waongeze juhudi kuwafuta wanadamu ujinga kwa kuongeza shule na mahospital kuliko kukariri biblia kuhifadhi biblia kichwani.hushangai mchungaji anaponya waumini wake lakini yeye na familia yake wana bima ya afya mkuu.!sanuka hukuona Gwajima alienda kutibiwa India babalai..
Duuu, kwahiyo ule uponyaji unaofanyika pale kanisani ni ujanja ujanja tu? Funguka kiongozi ili tupate somo
 
Ooh okay, unamaanisha kuwa hakuna biblia moja zipo biblia nyingi it means hakuna uwezekano wa kujua ipi ihifadhiwe na ipi iachwe au sijaelewa vizuri mkuu...?
Si hivyo tu, kama kuna biblia zaidi ya moja pia haijulikani IPI shihi na ipi feki.
 
Kuhifadhi Biblia ipi? Ya R.C au ya Wasabato, ya mashaihidi wa Yehova, ya Copts, ya au ya Walokole? Ya agano la kale au yote? Biblia ya vitabu vyote au baadhi Maana kuna wengine hawaviambui baadhi ya vitabu ndani ya Biblia, Mfano kitabu cha ESTA
 
Tuhifadhi maneno ya kwenye biblia, kichwani na kimatendo. Yani kurithi hekima yake, na sio maneno yake.
 
Maandiko ya darasani hayana lengo la upotoshaji wa neno la MUNGU.
Na ukitaka kuamini hajatokea mpaka leo mtu yeyote aliyehifadhi biblia version yoyote ile.

Ooh Okay nimekuelewa vyema kabisa kiongozi. Ubarikiwe mkuu.
 
Kuhifadhi Biblia ipi? Ya R.C au ya Wasabato, ya mashaihidi wa Yehova, ya Copts, ya au ya Walokole? Ya agano la kale au yote? Biblia ya vitabu vyote au baadhi Maana kuna wengine hawaviambui baadhi ya vitabu ndani ya Biblia, Mfano kitabu cha ESTA

Mkuu, ni wakina nani wasiokitambua kitabu cha Esta na kwa nini hawakitambui mkuu...?

Huwa napenda sana kujifunza mambo kiongozi.
 
Back
Top Bottom