tikakami wa lopelope
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 1,377
- 673
Ni sawa kwa imani yako na rudia ni nani mimi mpaka ni ipinge imani yako?
Mimi ni fanyacho hapa ni kuzunguzia imani yangu na kutoa changamoto ya maswali tu kwa niliyo ya soma hapa kuhusu imani yenu ambayo mme ya andika wenyewe.
Kwa mujibu wa imani yangu Shetani ni Baba wa Uongo ni mwenye hila kuu. Moja ya hila zake ni kufanya mambo yake kwa kumshirikisha/kumuhusisha/kumtanguliza Mungu mbele (BwanaYesu na omba msaada wako ni
eleweke) Na kupa mfano pale Eden alimuambia Hawa Eti Mungu kawakataza msile yale matunda ya ule mti wa katikati ya bustani na kawa ambia mkila mtakufa? (ukweli mtupu). Baada ya hapo ndio ana chomekea uongo mkuu."Mungu kawadanganya mkitala mtakuwa kama yeye). Sijui kama unaona shetani utendaji wake ulivyo. So si jambo geni kabisa kwa shetani kutenda kwa namna hiyo. Haimpi taabu kuanzia taurati, zaburi, injili, nk halfu akamalizia ajuavyo yeye maana ndio mbinu yake kuanza na Mungu.
Sasa hilo la mchungaji anaye tafsiri Quran Tukufu kwa kupotasha sijui maana sijaiona clip hiyo. Ila Bwana Yesu alitufundisha kwa Neno lake kwamba tuchukue tahadhari siku za mwisho watakuja manabii wa uongo kwa jina lake.
By the way leo kiko pilau pale temeke amvalo la husisha kutumia majini wema na wenye nguvu ukilila unafukuza majini wabaya wanao watesa wabadamu.
Mimi ni fanyacho hapa ni kuzunguzia imani yangu na kutoa changamoto ya maswali tu kwa niliyo ya soma hapa kuhusu imani yenu ambayo mme ya andika wenyewe.
Kwa mujibu wa imani yangu Shetani ni Baba wa Uongo ni mwenye hila kuu. Moja ya hila zake ni kufanya mambo yake kwa kumshirikisha/kumuhusisha/kumtanguliza Mungu mbele (BwanaYesu na omba msaada wako ni
eleweke) Na kupa mfano pale Eden alimuambia Hawa Eti Mungu kawakataza msile yale matunda ya ule mti wa katikati ya bustani na kawa ambia mkila mtakufa? (ukweli mtupu). Baada ya hapo ndio ana chomekea uongo mkuu."Mungu kawadanganya mkitala mtakuwa kama yeye). Sijui kama unaona shetani utendaji wake ulivyo. So si jambo geni kabisa kwa shetani kutenda kwa namna hiyo. Haimpi taabu kuanzia taurati, zaburi, injili, nk halfu akamalizia ajuavyo yeye maana ndio mbinu yake kuanza na Mungu.
Sasa hilo la mchungaji anaye tafsiri Quran Tukufu kwa kupotasha sijui maana sijaiona clip hiyo. Ila Bwana Yesu alitufundisha kwa Neno lake kwamba tuchukue tahadhari siku za mwisho watakuja manabii wa uongo kwa jina lake.
By the way leo kiko pilau pale temeke amvalo la husisha kutumia majini wema na wenye nguvu ukilila unafukuza majini wabaya wanao watesa wabadamu.
Sawa mkuu nimekuelewa. Wakati mwingine hoja za tunaojadiliana nao ndizo zinafanya mtu utoke kidogo kwenye mjadala na kuizungumzia jamii unayojadiliana nao.
Kuna video inasambaa na mchungaji mmoja wa kitanzania akiisoma Quran ku-translate tofauti kabisa na ilivyoandikwa kisha binti mmoja ama ni Rwanda au Burundi akawa ana-translate katika lugha ya kwao kwa hadhira iliyokuwepo katika hali hiyo ya upotoshaji. Sasa wachungaji wa namna hii ndio wanaenda kuzalisha wabishani wasiolewa huko mitaani. Kiasi baadhi yao ndio akina mgen.
Kweli mtu aliyeenda shule anaweza kuamini kuwa the so called shetani anaweza kutunga au kuandika kitabu au kutoa maneno yanayoelezea uumbaji, mazingira, sayansi nk kama ilivyo Quran? Kwanini mtu anaweza kuamini hivi? Yumkini katika mafundisho aliyopokea ameambiwa hivyo na yeye hakutaka kujiongeza. Angejiongeza na kusoma hicho kitabu angebaini kwamba shetani ni miongoni mwa viumbe vilivyoonywa, kukemewa na kutabiriwa mabaya katika hiyo Quran. Sasa angejiuliza, iweje mwandishi wa kitabu (kama anavyidai yeye) ajikaange mwenyewe. Yaani kwanini kitabu alichoandika yeye kisha aseme watakaemfuata yeye ( shetani) wataenda motoni?
Anyway, nimekuelewa turudi kwenye hoja zinazohitaji ufafanuzi.