PENDEKEZO: Liitwe deni la mama, na sio deni la taifa

PENDEKEZO: Liitwe deni la mama, na sio deni la taifa

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
12,151
Reaction score
44,079
Kumekuwa na utamaduni wa kila pesa ya taifa inapotumika kwa maendeleo inasemwa ni pesa ambayo mama yetu ametoa kama fadhila kwa wananchi wake anaowapenda.

Lakini pia umeonekana kuwa, kumbe sehemu kubwa ya hizo pesa ambazo mama yetu anazitoa huwa anakopa na mwisho hubakia kuwa deni la taifa.

Sasa ili kujenga taswira halisi na kuweka uzani sawa sawa, watu wengi wanapendekeza kuwa badala kuitwa deni la taifa basi liitwe DENI LA MAMA.
 
kwani yeye ndiye anayedaiwa na kulipia hadi liitwe hivyo ? anayedaiwa na mlipaji ndiye mwenye deni …
 
kwani yeye ndiye anayedaiwa na kulipia hadi liitwe hivyo ? anayedaiwa na mlipaji ndiye mwenye deni …
Mbona kila la jambo machawa wanaona zuri kafanya mama kwa mfano kujenga barabara wanasema mama mama, na deni la mama pia.
 
Kumekuwa na utamaduni wa kila pesa ya taifa inapotumika kwa maendeleo inasemwa ni pesa ambayo mama yetu ametoa kama fadhila kwa wananchi wake anaowapenda.

Lakini pia umeonekana kuwa, kumbe sehemu kubwa ya hizo pesa ambazo mama yetu anazitoa huwa anakopa na mwisho hubakia kuwa deni la taifa.

Sasa ili kujenga taswira halisi na kuweka uzani sawa sawa, watu wengi wanapendekeza kuwa badala kuitwa deni la taifa basi liitwe DENI LA MAMA.
Naunga sikio hoja

ikitandeza pia likitwa

deni la chura kiziwi
 
Mbona kila la jambo machawa wanaona zuri kafanya mama kwa mfano kujenga barabara wanasema mama mama, na deni la mama pia.

kwa sababu kama kujenga barabara hela kazitoa yeye, lkn deni mlipaji siyo yeye …
 
Kuna maji machafu ya mama hapa mtaani
 
Back
Top Bottom