Kigizo jr
Member
- Apr 1, 2021
- 12
- 9
Nafikiri kungekuwa na vifurushi ambavyo ni basic bundle kwa makampuni ya simu na viwe monitoring na TCRA, Na pili kuwe na upande wa vifurushi vya ofa ambavyo ingekuwa ni choice kwa kampuni kujua wanaweka kwa namna gani ili kupata ushindani sokoni (Ni kampuni lenyewe la simu kujua wanaweka ofa za namna gani ambazo za weza kuwa tofauti na makampuni mengine).