Lastname
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 921
- 296
Watanzania ambao wako katika mlengo wangu napendekeza kama Mungu atamjalia Ulimboka akarudi salama basi ianzishwe Dr. Ulimboka foundation ambayo yeye atafanya kazi hapo na iwe inahusika kusaidia watu wanaojeruhiwa kwa jinsi ile na jinsi nyingine ili cases kama hizi ziweze kuwa wazi na jamii iweze kuzipigoia kelele. Binafsi nipo tayari kuchangia kwenye hiyo foundation.