johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,534
Ni pendekezo tu kwa ajili ya kumbukumbu ya Mbunge wa Kawe kwa miaka 10 mfululizo na ambaye wananchi wamemtaka sasa astaafu Mh. Halima Mdee.
Kivuko hiki kipo Bagamoyo Road eneo liitwalo karibu na Mbezi Beach maarufu kama Kwa Komba.
Maendeleo hayana vyama!
Kivuko hiki kipo Bagamoyo Road eneo liitwalo karibu na Mbezi Beach maarufu kama Kwa Komba.
Maendeleo hayana vyama!

♂️