Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,523
- 27,020
Umuofia kwenu wakuu!
Kama raia wa kawaida, naleta hoja binafsi kama inavyojieleza hapo juu.
Sina nia ya kubeza umuhimu wa Makumbusho, ni vema kama Taifa kuwa kumbukizi zetu. Ndiyo maana tunayo pia Makumbusho ya Taifa pale mjini kati Posta.
Hoja yangu hapa ni ‘unyeti’ wa eneo ambalo Kijiji hiki kimewekwa, pale tunaweza kuwekeza miradi mikubwa na yenye manufaa kuliko ilivyo sasa.
Kijiji kilijengwa hapo miaka mingi iliyopita, ambapo hilo eneo lilionekana ni nje ya mji hivyo lilisadifu kuwa na ‘Kijiji’.
Kwa sasa pale ni ‘keki’ iliyonona, ni keki ya moto, serikali yangu sikivu naamini itapendezwa na wazo murua hili.
Kama lengo lake ni kumbukizi tu za mila zetu, basi kihamishiwe eneo lingine pembeni ya mji, ili pale patumike kwa miradi yenye tija zaidi kwa Taifa.
Nawasilisha.
Kama raia wa kawaida, naleta hoja binafsi kama inavyojieleza hapo juu.
Sina nia ya kubeza umuhimu wa Makumbusho, ni vema kama Taifa kuwa kumbukizi zetu. Ndiyo maana tunayo pia Makumbusho ya Taifa pale mjini kati Posta.
Hoja yangu hapa ni ‘unyeti’ wa eneo ambalo Kijiji hiki kimewekwa, pale tunaweza kuwekeza miradi mikubwa na yenye manufaa kuliko ilivyo sasa.
Kijiji kilijengwa hapo miaka mingi iliyopita, ambapo hilo eneo lilionekana ni nje ya mji hivyo lilisadifu kuwa na ‘Kijiji’.
Kwa sasa pale ni ‘keki’ iliyonona, ni keki ya moto, serikali yangu sikivu naamini itapendezwa na wazo murua hili.
Kama lengo lake ni kumbukizi tu za mila zetu, basi kihamishiwe eneo lingine pembeni ya mji, ili pale patumike kwa miradi yenye tija zaidi kwa Taifa.
Nawasilisha.